Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wakuu natanguliza salamu za ukombozi, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.
Ni siku nyingine tena ambapo Mh Tundu Lissu mgombea urais anayeongoza kwenye kura za maoni anaendelea na safari yake ya kuwaomba watanzania wenzake wampe ridhaa ya kuwaongoza, leo ikiwa bado yuko Mkoani Mara kwenye jimbo la Serengeti.
Pamoja na kufanya kampeni lakini mgombea huyu anayo sifa ya ziada ya uwezo wa kuwafundisha raia kuhusu haki zao walizoporwa kwa miaka mingi, hatukani wala hafokei wapiga kura , amekuwa gumzo kubwa kwenye elimu ya uraia ambayo imesaidia wapiga kura kujiamini na kujiwekea malengo.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika ambapo mimi mtumishi wako Erythrocyte nitakuletea kila kinachojiri.
==========
UPDATES 1
Polisi yavurumishia risasi na Mabomu kwenye Msafara wake eneo la Nyamongo
kwa sababu zisizofahamika , video hii hapa
UPDATES 2
Baada ya mabomu Nyamongo ilikuwa hivi