Nilijua tu lazima itafika mahali kuanzia wiki hii polisi wataanza kuwatishia watu wasiende kwenye mikutano ya Lissu na hii inatoka Dodoma.Leteni hizo video polisi wakifyatua risasi na kurusha mabomu ya machozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua tu lazima itafika mahali kuanzia wiki hii polisi wataanza kuwatishia watu wasiende kwenye mikutano ya Lissu na hii inatoka Dodoma.Leteni hizo video polisi wakifyatua risasi na kurusha mabomu ya machozi.
HakikaSaa ya ukombozi inakaribia kabla jua halijazama kila mtu atakuwa amemuelewa huyu Mwamba kutoka kanda ya kati Tundu Lissu.
Wananchi wa Serengeti msikatishwe tamaa na Polisi CCM.
Ukombozi uko hatua mmoja mbele bado kidogo ,kutapambazuka kwa shangwe kuu.
Tunataka Uhuru Haki na Maendeleo ya Watu.
Shida inaanzia hapaSidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu asichague #Lissu tarh 28.
Lisssu mwenye uwezo wa kuitafsiri elimu yake kwenye mazingira anayoishi.
Hamna yakuunga tuHakuna wanafunzi kweli humo??😝
Natania makamanda!
Everyday is Saturday..............................😎
Mazombi in action