Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Mh Tundu Lissu Mkoani Mara, Serengeti

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Mh Tundu Lissu Mkoani Mara, Serengeti

Attachments

  • KondaBoy.jpg
    KondaBoy.jpg
    15.6 KB · Views: 1
Hakuna wa kuwatangaza nyinyi, yaani mnajifariji tu .
Hapo ndipo tunapopataka ili tuanzishe maandamano yasiyo na kikomo hadi huyo mpuuzi baba yako jiwe atakapongo'olewa kwa nguvu.
 

Attachments

  • magu.jpeg
    magu.jpeg
    128.6 KB · Views: 1
Ume jarbu kuingiza vizuri ika tosha ??

SUBIRI KIDOGO
 
Hacha ujinga wako, serikali za majimbo kanadi mazako?? Masuala ya afya, ajira kanadi mkweo??

Kama humpendi hachana nae sisi kwetu TAL ni lulu kabisa
Lissu ni kichaa, hanadi sera hata siku moja ye ananadi mapambano tu kwamba lazima atangazwe kwa sababu watu walikuja kusikiliza mkutano, basi lazima awe mshindi la sivyo damu itamwagika, huyu kichaa ametumwa anatumiwa kama zombie na wazungu
 
Lissu ni kichaa, hanadi sera hata siku moja ye ananadi mapambano tu kwamba lazima atangazwe kwa sababu watu walikuja kusikiliza mkutano, basi lazima awe mshindi la sivyo damu itamwagika, huyu kichaa ametumwa anatumiwa kama zombie na wazungu
Kichaa anaetetea wafanyabiashara wadogo maskini wasinyonywe na CCM na Mambo kibao basi ukichaa ni
Mzuri Una maana kuliko wewe mzima takataka.
 
View attachment 1583315

Wakuu natanguliza salamu za ukombozi, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.

Ni siku nyingine tena ambapo Mh Tundu Lissu mgombea urais anayeongoza kwenye kura za maoni anaendelea na safari yake ya kuwaomba watanzania wenzake wampe ridhaa ya kuwaongoza, leo ikiwa bado yuko Mkoani Mara kwenye jimbo la Serengeti.

Pamoja na kufanya kampeni lakini mgombea huyu anayo sifa ya ziada ya uwezo wa kuwafundisha raia kuhusu haki zao walizoporwa kwa miaka mingi, hatukani wala hafokei wapiga kura , amekuwa gumzo kubwa kwenye elimu ya uraia ambayo imesaidia wapiga kura kujiamini na kujiwekea malengo.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika ambapo mimi mtumishi wako Erythrocyte nitakuletea kila kinachojiri.

==========
UPDATES 1

Polisi yavurumishia risasi na Mabomu kwenye Msafara wake eneo la Nyamongo
View attachment 1583350
kwa sababu zisizofahamika , video hii hapa

View attachment 1583579

UPDATES 2
Baada ya mabomu Nyamongo ilikuwa hivi

View attachment 1583506
Utalinganisha na hii hapa ya Rais Magufuli anayesubiri kuapishwa!?

IMG-20200928-WA0035.jpg
 
Utalinganisha na hii hapa ya Rais Magufuli anayesubiri kuapishwa!?

View attachment 1583743
Mbona hawa wamekaa kama vile wako kwenye msiba, kwa hakika huu hauwezi kuwa mkutano wa kampeni. Wahudhuriaji wanaonekana kama vile hawana namna, wengine wanaonekana kama vile wameduwaa kabisa kwa nini wameletwa hapo uwanjani! Bye bye Jiwe, tutaharakisha maumivu yenu na tarehe 28/10/2020 haiko mbali, vumilieni kidogo tu, hiyo minyororo mliyofungwa itafunguliwa muweze kuwa huru.
 
Sasa hii picha ulioweka ina uhusiano gani na ukichaa wa Lissu aliyetumwa na mabeberu?
Hayo yanayofanyika kwenye hiyo picha unaona ni sawa kimaadili? Mpuuzi kweli kweli wewe
 
Watumishi wa umma Unajua wengi wamekuelewa Mheshimiwa Tundu lissu ila hawawezi kujionyesha kwa sababu ya kulinda ajira zao.

Watumishi hao wa umma ni pamoja hawa wakurugenzi, wakuu wa wilaya pamoja na wakuu wa mikoa.

USHAURI:
Naomba sana katika kampeni zako hawa watu usiwatangazie UBAYA au KISASI kwa sababu tu ni wateule wa Rais , Bali uwaahidi utawasaidiaje kulinda ajira zao ukiwa Rais ukizingatia maisha yao yapo kwenye hizo ajira kwa maana kwamba wanasomesha, wanategemewa, wanasaidia ndugu na wazazi wao kupitia ajira hizo.

Kwahiyo katika kampeni zako hakikisha unajitahidi kutoa maneno ya faraja yanayo akisi hatma yao wewe utakapo kuwa Rais.

KUMBUKA : Kundi hili la watumishi wa umma wana mchango mkubwa sana kwenye ushindi wako wa Oktoba 28 , sio tu kukupigia kura , bali ni pamoja na kutenda HAKI katika uchaguzi huu.

Vinginevyo kama hawatapata hatma ya maisha yao watazilinda Ajira zao kwa gharama yoyote.
 
Mpumbavu aliyekuzaa, wewe una ushahidi wa hiyo hoja yako??
Huyo jimama amewahi kukuonesha hizo nywele zake wewe zaidi ya Bashite? Hivi mkiwa huko CCM akili huwa zimewafyatuka kutokana na hayo malipo ya elfu saba kwa siku eti?
 

Attachments

  • Lumumba Buku 7.jpg
    Lumumba Buku 7.jpg
    20.8 KB · Views: 1
28 September 2020
Mugumu, Serengeti
Tanzania

Tundu Lissu apokewa kwa kishindo, atoa somo kuhusu kuitwa tarehe 29 /9/2020 Dodoma kufuatia malalamiko ya kutuhumiwa kukiuka maadili ya uchaguzi

First Lady mtarajiwa Alicia Lissu amepanda jukwaani na kuwaambia waTanzania wote kuwa yeye Alicia kama mwanasheria, basi bila shaka waTanzania watambue kuwa Tundu Antipas Lissu akiingia Ikulu yeye Alicia Tundu atakuwa anamsumbua na kumkumbusha kila siku Rais Tundu Antipas Lissu kutetea haki za binadamu ili wananchi wa Tanzania waishi kwa Uhuru, Haki bila kunyanyaswa kama ilivyo sasa kwa miaka mitano ya CCM Mpya 2015 - 2020 inayoishia Oktoba 28 2020

Malalamiko ya wanaokiuka Maadili ya Uchaguzi basi serikali au chama husika kitawakilisha kwa maandishi malalamiko kwa Tume ya Uchaguzi.

Mpaka sasa hakuna taarifa ya mgombea wa chama, chama au Tume wamewakilisha malalamiko kwake Tundu Lissu au kwa chama chake CHADEMA.

Hivyo kukosekana kwa barua ya malalamiko iliyowakilshwa Tume ya Uchaguzi maana yake Tundu Lissu hawezi kwenda Dodoma kesho tarehe 29/09/ 2020.

Ratiba ya mgombea urais 2020 kufanya kampeni eneo la Mugumu Serengeti unaoonesha mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Tundu Lissu ulitaka kuvurugwa leo na Mkurugenzi wa Uchaguzi huku nakala ikipelekwa kwa OCD, DSO na DC wote wilaya ya Serengeti.

Baada ya maneno hayo ktk ufunguzi wa kampeni Tundu Lissu anarejea suala la Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu wanaoishi ktk maeneo maalum tengefu .... kama Mugumu Serengeti na maeneo mengine kama hayo Tanzania nzima ....


Tume yajimwambafai kuwa ipo huru

 
Back
Top Bottom