Hahahahahaha.....! Kesho tupo Mbeya karibu dada usikilize sera siyo uongo uongo wa mgombea kutoka Ubelgiji Lissu.huu ni mkutano wa mkoa mzima wa Iringa uliohudhuriwa na nusu ya watu ambao hawatamchagua magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha.....! Kesho tupo Mbeya karibu dada usikilize sera siyo uongo uongo wa mgombea kutoka Ubelgiji Lissu.huu ni mkutano wa mkoa mzima wa Iringa uliohudhuriwa na nusu ya watu ambao hawatamchagua magufuli
Kichaa ni baba yako mzazi kwa kukosa kuvaa kondomu au hata kumwaga nje kisha ukazaliwa wewe mwanaharamuLissu ni kichaa, hanadi sera hata siku moja ye ananadi mapambano tu kwamba lazima atangazwe kwa sababu watu walikuja kusikiliza mkutano, basi lazima awe mshindi la sivyo damu itamwagika, huyu kichaa ametumwa anatumiwa kama zombie na wazungu
Mbeya walishakataa utumwa tangu enziHahahahahaha.....! Kesho tupo Mbeya karibu dada usikilize sera siyo uongo uongo wa mgombea kutoka Ubelgiji Lissu.
Hili ni neno muhimu na la kweli, hao Wakurugenzi wa Halmashauri, wote ni aina ya Mahera wa NEC. Kimsingi JPM alimchomoa Mahera kutoka kuwa Mkurugenzi wa Halmshauri ya Jiji la Arusha na kumfanya kuwa Mkurugenzi wa Tume, yaani awe bosi na mkuu wa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini ambao kimsingi wao ndio wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo.Hakuna wa kuwatangaza nyinyi, yaani mnajifariji tu .
Rwanda kuna viwanja....Cha ajabu nini hapo? mpuuzi baba yako
Hahahahahaha.....! Kesho tupo Mbeya karibu dada usikilize sera siyo uongo uongo wa mgombea kutoka Ubelgiji Lissu.
[/QUOTE
Kiuhalisia mmebaki kiukooo ......
T2020 haya nimekupa pleti namba katembeleee hiyo.....Kwa hiyo??
Tutajua kesho kama unayoyasema ni ya kweli dada!Mbeya walishakataa utumwa tangu enzi
wamefurika kweli kweli
28 September 2020
Mugumu, Serengeti
Tanzania
Tundu Lissu amjibu Mkurugenzi wa NEC kisheria, atoa sababu 5 za kukataa wito wa Tume ya Uchaguzi NEC
28 September 2020
Mugumu, Serengeti
Tanzania
Tundu Lissu amjibu Mkurugenzi wa NEC kisheria, atoa sababu 5 za kukataa wito wa Tume ya Uchaguzi NEC
Jamaa anakula wazeeUwe na adabu basi, usidhani kila mtu ni kama mnavyojipigia mijimama yenu huko isiyojiheshimu. muumbwa we.
Wamekojotwa wakaongeze vichwa tuMbona hawa wamekaa kama vile wako kwenye msiba, kwa hakika huu hauwezi kuwa mkutano wa kampeni. Wahudhuriaji wanaonekana kama vile hawana namna, wengine wanaonekana kama vile wameduwaa kabisa kwa nini wameletwa hapo uwanjani! Bye bye Jiwe, tutaharakisha maumivu yenu na tarehe 28/10/2020 haiko mbali, vumilieni kidogo tu, hiyo minyororo mliyofungwa itafunguliwa muweze kuwa huru.