Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Mh Tundu Lissu Mkoani Mara, Serengeti

huu ni mkutano wa mkoa mzima wa Iringa uliohudhuriwa na nusu ya watu ambao hawatamchagua magufuli
Hahahahahaha.....! Kesho tupo Mbeya karibu dada usikilize sera siyo uongo uongo wa mgombea kutoka Ubelgiji Lissu.
 
Lissu ni kichaa, hanadi sera hata siku moja ye ananadi mapambano tu kwamba lazima atangazwe kwa sababu watu walikuja kusikiliza mkutano, basi lazima awe mshindi la sivyo damu itamwagika, huyu kichaa ametumwa anatumiwa kama zombie na wazungu
Kichaa ni baba yako mzazi kwa kukosa kuvaa kondomu au hata kumwaga nje kisha ukazaliwa wewe mwanaharamu
 
Hawa walinzi wa Lissu washenzi kweli, wamekimbilia ndani ya gari na kumwacha pekeyake juu ya gari,

Asanteni wadogo wa kikurya, pamoja na mabomu yote wamesimama kidete kuichunga gari na kuchukua picha kwa kutumia simu zao
 
Hahahahahaha.....! Kesho tupo Mbeya karibu dada usikilize sera siyo uongo uongo wa mgombea kutoka Ubelgiji Lissu.
Mbeya walishakataa utumwa tangu enzi
 
Hakuna wa kuwatangaza nyinyi, yaani mnajifariji tu .
Hili ni neno muhimu na la kweli, hao Wakurugenzi wa Halmashauri, wote ni aina ya Mahera wa NEC. Kimsingi JPM alimchomoa Mahera kutoka kuwa Mkurugenzi wa Halmshauri ya Jiji la Arusha na kumfanya kuwa Mkurugenzi wa Tume, yaani awe bosi na mkuu wa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini ambao kimsingi wao ndio wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo.

Vv
 
28 September 2020
Mugumu, Serengeti
Tanzania

Tundu Lissu amjibu Mkurugenzi wa NEC kisheria, atoa sababu 5 za kukataa wito wa Tume ya Uchaguzi NEC

 
Ccm cha cha wanyo nyaji wana hisi kufika wana hisi unyo nyaji wao kufika ukingoni
 
28 September 2020
Mugumu, Serengeti
Tanzania

Tundu Lissu amjibu Mkurugenzi wa NEC kisheria, atoa sababu 5 za kukataa wito wa Tume ya Uchaguzi NEC

Walipiga risasi zoote ktk sehemu mbali mbali za mwili wakashindwa kichwani. Mungu ni mwema sana.
 
Wamekojotwa wakaongeze vichwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…