Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 1,154
- 3,417
Hivi Magu amewahi kumshinda Nani kwenye uchaguzi ulio huru? Maana Lowasa alimshinda mbaaali sana ila Lubuva alaaniwe huko aliko akamtangaza jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muhimu kudili na mawakala, wawe recruited effectively. Wawe equipped na tech, wapewe body camera pamoja na vinasa sauti.This is the remaining concern! A great one! Lisu keshashinda. Je watamtangaza? Nini kifanyike LEO (na si kesho) ili atangazwe? Mwanahabari Huru
Mwanahabari HuruNi muhimu kudili na mawakala, wawe recruited effectively. Wawe equipped na tech, wapewe body camera pamoja na vinasa sauti.
Kwenye kampeni wananchi wapewe somo la uraia, wajue umuhimu, thamani pamoja na matokeo ya kura zao.
Wakuu habari za Jumapili , kama kawaida yetu leo tena tunaendelea kuwaletea taarifa za mbeba maono Mh Lissu , ambapo leo yuko Kigoma na baadaye atatinga Mkoa wa Kagera
Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za uhakika .
View attachment 1575061
=======
Huo umma unaundwa na mtu mmoja mmoja na watu hawaitaki chadema ndio tatizoYale mambo ya kusema eti CCM inabebwa na taasisi za serikali pamoja na majeshi yake inabidi yakome mwaka huu. Hivyo vyombo vinakuwa na nguvu vinapokabiliana na mtu mmoja mmoja aliyehitilafiana na haki. Lakini kama ni umma unaodai haki, hapatatosha! Na mwaka huu hatumwachii Mungu hata tone la uonevu.
Tundu angeacha tu huku Kigoma wamemkataa kabisa
Mtu mmoja mmoja wakiunganika Mungu anaongezeka na kukaa kati yao ikiwa watu hao wamejumuika kwa ajili ya haki.Huo umma unaundwa na mtu mmoja mmoja na watu hawaitaki chadema ndio tatizo
Teh teh teh teh, hata Mimi jana nilikuwepo KG ni kama tu hakuwepo, hapakuwa ma msisimuko wowote kuimweli.Nipo kigoma mjini lkn sijui Tundu kama yupo kigoma aise
hivi anautubia lini ?
Magufuli ata yeye anajua kuwa hatoboiI swear before God and Man! Kuna usiku niliota kitu cha namna hii.
Usiku wa majuzi wiki iliyopita niliota Lissu kambwaga Magufuli kwenye uchaguzi huu wa 2020.
Kazi iliyobaki kwa Lissu ni kulinda ushindi wake na ndilo jukumu la watanzania.
Ni uzwazwa wa hali ya juu sn kushabikia ccmNikiona kijana mwenzangu yupo CCM namdharau sana
Teh teh teh teh, hata Mimi jana nilikuwepo KG ni kama tu hakuwepo, hapakuwa ma msisimuko wowote kuimweli.
Sasa najiuliza anashinda kwa kura zipi labda!
Kama watu wasioitaka ccm ni wengi kwanini huwa inashinda miaka yote ?Mtu mmoja mmoja wakiunganika Mungu anaongezeka na kukaa kati yao ikiwa watu hao wamejumuika kwa ajili ya haki.
Usemayo yana ukweli kiasi chake lakini watu wasioitaka CHADEMA sii wengi kama Wana CCM wasioitaka CCM.
WameshashindwaWako busy na kumfuatilia lissu mitandaoni [emoji23][emoji23]
maadam anamkojolea mazeri wako hakuna shidaEndelea kuota, angalia tu usikojoe!