Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mikoa ya Kigoma na Kagera

Kama watu wasioitaka ccm ni wengi kwanini huwa inashinda miaka yote ?
Mkuu watu wanabadilika, CCM kabla ya 2015 ni tofauti Sana na CCM baada ya 2015, hilo litambue wazi kabisa.

Vyama vikongwe na vilivyojiwekeza kama CCM daima vinaangushwa si na wapinzani nje ya chama bali kwa ushirikiano wa wanachama wao kwa vyama pinzani.

Mungu aliona mbali kuficha moyo wa mtu mbali na macho ya watu kwani moyo ndilo hekalu la siri zote.
 
Mara hii wajitafakari wapenda haki wako macho.
 
Wapenda haki wanapokuja pamoja Mungu huwabariki .
 
I swear before God and Man! Kuna usiku niliota kitu cha namna hii.

Usiku wa majuzi wiki iliyopita niliota Lissu kambwaga Magufuli kwenye uchaguzi huu wa 2020.
Kazi iliyobaki kwa Lissu ni kulinda ushindi wake na ndilo jukumu la watanzania.
Ushindi wa Lissu utalindwa kwa Damu na maji, atakayejaribu kuiba kura za Lissu atakuwa halali yetu
 
Ushindi wa Lissu utalindwa kwa Damu na maji, atakayejaribu kuiba kura za Lissu atakuwa halali yetu
Na hiki ndicho kinachotatanisha zaidi. Watanzania walizoea kutanguliza amani mbele ya haki ili kuepuka umwagaji damu lkn wamegundua ukosefu wa haki unaweza kumwaga damu ama kupoteza maisha. Too late but better than never.
 
Na hiki ndicho kinachotatanisha zaidi. Watanzania walizoea kutanguliza amani mbele ya haki ili kuepuka umwagaji damu lkn wamegundua ukosefu wa haki unaweza kumwaga damu ama kupoteza maisha. Too late but better than never.
Chochote watakachokifanya hao majambazi wa kura za wananchi kitakumbana na nguvu ile ile.
 
ccm ilipoteza ushawishi kipndi cha jk lkn hii awamu ya JPM imerudisha nguvu ya CCM sababu vitu ambavyo upinzani ulitumia kama fimbo vimetatuliwa tayari

now day wanalia na uhuru tu swali wanataka uhuru gan ?
 
ccm ilipoteza ushawishi kipndi cha jk lkn hii awamu ya JPM imerudisha nguvu ya CCM sababu vitu ambavyo upinzani ulitumia kama fimbo vimetatuliwa tayari

now day wanalia na uhuru tu swali wanataka uhuru gan ?
Ningepewa kazi ya kutafuta waliomshauri m.kiti vibaya usingekosa kuwepo
 
Hamasisha watu wakapige kura 28/10 (waliojiandikisha).
Kuishabikia cdm bila kuwajibika kwenye sanduku la kura nao ni uzwazwa.
Kumbe unajua. This was done already.... Unaomgelea kilichotekelezwa tayari tangu 2015......

Ni uzwazwa kushabikia ccm
 
Ni muhimu kudili na mawakala, wawe recruited effectively. Wawe equipped na tech, wapewe body camera pamoja na vinasa sauti.

Kwenye kampeni wananchi wapewe somo la uraia, wajue umuhimu, thamani pamoja na matokeo ya kura zao.
Swali fikirishi je wewe unajua anaye zinatangaza kura za Urais na sababu zake
 
ccm ilipoteza ushawishi kipndi cha jk lkn hii awamu ya JPM imerudisha nguvu ya CCM sababu vitu ambavyo upinzani ulitumia kama fimbo vimetatuliwa tayari

now day wanalia na uhuru tu swali wanataka uhuru gan ?
fimbo ya wapinzani haikuwa utekaji na matusi kwa raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…