Mkuu watu wanabadilika, CCM kabla ya 2015 ni tofauti Sana na CCM baada ya 2015, hilo litambue wazi kabisa.Kama watu wasioitaka ccm ni wengi kwanini huwa inashinda miaka yote ?
Mara hii wajitafakari wapenda haki wako macho.Yale mambo ya kusema eti CCM inabebwa na taasisi za serikali pamoja na majeshi yake inabidi yakome mwaka huu. Hivyo vyombo vinakuwa na nguvu vinapokabiliana na mtu mmoja mmoja aliyehitilafiana na haki. Lakini kama ni umma unaodai haki, hapatatosha! Na mwaka huu hakuna kumwachia Mungu hata tone la uonevu.
Wapenda haki wanapokuja pamoja Mungu huwabariki .Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu Jana ameingia Kigoma kwa kishindo kikuu.
Alilakiwa na Maelfu Elfu ya watu waliojipanga majiani huku wakitandika mikeka chini shujaa huyo wa karne hii apite juu yake.
Akihutubia umati mkubwa unaokadiriwa kuwa na watu zaidi ya Elfu 30 katika viwanja vya Community Centre Lissu alisema alichokishuhudia Kigoma ni kwamba wananchi wameamua kuondoa utawala wa kidhalimu na kuweka utawala utakaojali #UTUHAKINAMAENDELEOYAWATU#
Tundu Lissu alisema Chadema kinatambua mchango mkubwa unaotolewa na Zitto Kabwe ambaye ni mzaliwa wa Mkoa huo.Lissu aliuambia umati huo Chadema na ACT ni kitu kimoja katika uchaguzi huu na kwamba wananchi wamchague mgombea anayeweza kuitoa CCM madarakani ambaye ana ushawishi Hoja na anayeungwa mkono na watu.
Huku wakimjibu kwa kelele za Shangwe wananchi hao walipaaza sauti na kusema ni Zitto Kabwe watakayemchagua kuwa mbunge wao na kura zote za Urais wataelekeza kwa Tundu Lissu
Awali Lissu aliwaambia wananchi hao kwamba wakati anaumwa alipata Salaam kutoka kwa watu wa Kigoma walizomtuma kijana wao Zitto Kabwe.
Mara baada ya kuhutubia Shujaa huyo akisindikizwa Kifalme na umati mkubwa uliokuwa ukiimba Rais Rais Rais mpaka Hotelini kwake.
Siku moja kabla ya Tundu Lissu Kuwasili Kigoma Kiongozi wa ACT Zitto Kabwe alitoa tangazo rasmi la kunikaribisha mkoani humo na kuwataka wananchi kumpokea kwa Shangwe
Ushindi wa Lissu utalindwa kwa Damu na maji, atakayejaribu kuiba kura za Lissu atakuwa halali yetuI swear before God and Man! Kuna usiku niliota kitu cha namna hii.
Usiku wa majuzi wiki iliyopita niliota Lissu kambwaga Magufuli kwenye uchaguzi huu wa 2020.
Kazi iliyobaki kwa Lissu ni kulinda ushindi wake na ndilo jukumu la watanzania.
Hamasisha watu wakapige kura 28/10 (waliojiandikisha).Ni uzwazwa wa hali ya juu sn kushabikia ccm
Na hiki ndicho kinachotatanisha zaidi. Watanzania walizoea kutanguliza amani mbele ya haki ili kuepuka umwagaji damu lkn wamegundua ukosefu wa haki unaweza kumwaga damu ama kupoteza maisha. Too late but better than never.Ushindi wa Lissu utalindwa kwa Damu na maji, atakayejaribu kuiba kura za Lissu atakuwa halali yetu
Chochote watakachokifanya hao majambazi wa kura za wananchi kitakumbana na nguvu ile ile.Na hiki ndicho kinachotatanisha zaidi. Watanzania walizoea kutanguliza amani mbele ya haki ili kuepuka umwagaji damu lkn wamegundua ukosefu wa haki unaweza kumwaga damu ama kupoteza maisha. Too late but better than never.
Naona wajumbe ni kama mwaka huu hawataki kumpa Mungu kazi,eti watasimamia matokeo yao.alisikika mjumbe mmoja..Endelea kuota, angalia tu usikojoe!
ccm ilipoteza ushawishi kipndi cha jk lkn hii awamu ya JPM imerudisha nguvu ya CCM sababu vitu ambavyo upinzani ulitumia kama fimbo vimetatuliwa tayariMkuu watu wanabadilika, CCM kabla ya 2015 ni tofauti Sana na CCM baada ya 2015, hilo litambue wazi kabisa.
Vyama vikongwe na vilivyojiwekeza kama CCM daima vinaangushwa si na wapinzani nje ya chama bali kwa ushirikiano wa wanachama wao kwa vyama pinzani.
Mungu aliona mbali kuficha moyo wa mtu mbali na macho ya watu kwani moyo ndilo hekalu la siri zote.
Ningepewa kazi ya kutafuta waliomshauri m.kiti vibaya usingekosa kuwepoccm ilipoteza ushawishi kipndi cha jk lkn hii awamu ya JPM imerudisha nguvu ya CCM sababu vitu ambavyo upinzani ulitumia kama fimbo vimetatuliwa tayari
now day wanalia na uhuru tu swali wanataka uhuru gan ?
Hebu kuwa muwazi wapinzani mnataka niniNingepewa kazi ya kutafuta waliomshauri m.kiti vibaya usingekosa kuwepo
Mimi sio lazima nikawa mpinzani ninaweza kuwa mzalendo halisi na si mzalendo maslahi.Hebu kuwa muwazi wapinzani mnataka nini
Kumbe unajua. This was done already.... Unaomgelea kilichotekelezwa tayari tangu 2015......Hamasisha watu wakapige kura 28/10 (waliojiandikisha).
Kuishabikia cdm bila kuwajibika kwenye sanduku la kura nao ni uzwazwa.
Swali fikirishi je wewe unajua anaye zinatangaza kura za Urais na sababu zakeNi muhimu kudili na mawakala, wawe recruited effectively. Wawe equipped na tech, wapewe body camera pamoja na vinasa sauti.
Kwenye kampeni wananchi wapewe somo la uraia, wajue umuhimu, thamani pamoja na matokeo ya kura zao.
fimbo ya wapinzani haikuwa utekaji na matusi kwa raiaccm ilipoteza ushawishi kipndi cha jk lkn hii awamu ya JPM imerudisha nguvu ya CCM sababu vitu ambavyo upinzani ulitumia kama fimbo vimetatuliwa tayari
now day wanalia na uhuru tu swali wanataka uhuru gan ?
Umemsahau KAWE AlmniBia yangu hujambo ndg, Lissu safar hii anawatoa kibyongo ccm [emoji23][emoji23][emoji23]
kwaiyo mr mzalendo halisi hujui unataka nini ?Mimi sio lazima nikawa mpinzani ninaweza kuwa mzalendo halisi na si mzalendo maslahi.
Aliyekuwa anatukana matusi ni mdude chadema na sasa yupo nguvunifimbo ya wapinzani haikuwa utekaji na matusi kwa raia
Wasiojua wanacho kitaka no anaye panda mawe huku akitegemea avune mahindi.kwaiyo mr mzalendo halisi hujui unataka nini ?