Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Rukwa na Katavi

Mag Magufuli mwisho asilimia16 jamaa hatakiwi hata na kuku wa nchi hii pole zake yaani amedata hadi wafuasi wamebaki walimu na wanaafunzi wa shule ya msingi na sekondari nilijuwa lazima itpkeehivyo jamaa aliingia na asilimia 39 yaani kakataliwa mchana peupe
 
Jidanganyeni.
 
Na walikuwa na wananchi au vichwa vya wanafunzi vilivyoongezwa bora hata wangekuwa na kadi za kupigia kura
Taarifa za kuaminika ni kuwa Shule zote kasulu na kIbondo na viunga vyake zilifungwa wanafunzi wakaagizwa wakavue sare za shule wahushurie mkutano
 
Na walikuwa na wananchi au vichwa vya wanafunzi vilivyoongezwa bora hata wangekuwa na kadi za kupigia kura
Na kweli niliwaona tu watoto wadogo mpk nikawa najiuliza labda atarud kuwahudhuria wananch wa igoma?
 

Haaaaa haaaaaa, kwani wingi wa mikutano ndio wingi wa kura? Mikutano yenye wingi wa wafuata fiesta unapimaje kura? Kama unafanya mikutano mingi ili kuhalalisha matokeo ya kupika, basi mmeumia.
 

mkuu hivi unafahamu maana ya mikutano kweli??? mikutano 10 kwa siku?? ar you serious?? Ebu tuonyeshe ratiba ya nec ikionyesha mikutano 10 kwa siku.
 
mkuu hivi unafahamu maana ya mikutano kweli??? mikutano 10 kwa siku?? ar you serious?? Ebu tuonyeshe ratiba ya nec ikionyesha mikutano 10 kwa siku.
Anampamba mgombea wao huyo hana lolote
 
HATUMTAKIII HATA BURE. TOA HAPA.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Comrade vumilia bado siku chache sana maumivu yatakua ni makali sana kwa chadema. Magufuli ni chaguo la wengi.
 
Hivi kwanini nyuzi za Magufuli zimedoda hapa jf na kwingineko ?
Tupo busy na kampeni watanzania wana kiu kubwa ya kumsikiliza Rais wao mpendwa akiwaeleza mipango mathubuti ya maendeleo.

Comrade ukiingia jukwaa la siasa kati ya nyuzi kumi saba zinamuhusu Magufuli.

Lissu kila baada ya dakika mbili lazima amtaje Magufuli.

Sasa sijui uko udoda unakokusema unamaanisha nini comrade.
 
Kwisha habari yenu wanafiki nyinyi
 
Mzee wa katiba si msaafu anasemaje huko? Maana ana mapovu balaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…