Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Rukwa na Katavi

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Rukwa na Katavi

Wakuu leo tena yule Mgombea Urais pekee wa Tanzania asiye na kashfa yoyote ile anaendelea kuchanja mbuga kwenye mikoa ya Rukwa na Katavi , ambapo itapigwa mikutano minne na mkutano wa Mwisho utapigwa jioni kabisa Mpanda Mjini .

Kwa Taarifa za uhakika kuhusu kampeni za Tundu Lissu endelea kubaki hapahapa JF


========
UPDATES
Jimbo la Kwela
View attachment 1573119View attachment 1573376View attachment 1573377

UPDATES 2
Nkasi Kaskazini akimnadi kamanda Alfred Sotoka

View attachment 1573381
We wish you all the best Tundu.
 


Wana Sumbawanga washaamua wewe je unasubiri nini mtanzania - hii ndiyo nafasi pekee uliyonayo kulikomboa Taifa lako. UHURU - HAKI na Maendeleo ya watu viko mikononi kwako... saa ya ukombozi ni sasa.

Picha za nyomi mnazochakachua sasa Ni mbili tu ya Tunduma na Sumbawanga mlichakachua za Sumbawanga Wakati Lisu hakuwa Sumbawanga mkasema za Mwanza tukawananga na ushahidi mkazitoa chap chap sasa mumeona muweke za Lowasa za 2015 akiwa Sumbawanga mzifanye za Lisu akiwa Sumbawanga Hongereni kitengo cha uchakachuaji picha Cha Chadema

Mko vizuri kwenye uchakachuaji picha still picture na video
 
Magufuli anapiga mikutano mpaka kumi na tano kwa siku. Lissu minne tena hapo amejitahidi sana. Sioni sababu ya kulalamika Magufuli akipata ushindi wa kishindo.
Kuna majimbo Magufuli anapiga mikutano mpaka minne. Lissu yeye anafanya mkutano mmoja tu.

Jimbo la nyamagana, Magufuli alifanya mkutano Igoma, national, buzuruga, mkuyuni na Buhongwa. Tar 28 Magufuli akipata kura zaidi ya 90% kuna mtu wa kushangaa wazee?.
Kwa ufanyaji mikutano wa lissu, je akipata kura chini ya 20% kuna watu watalalamika kua ameibiwa?.

Mpaka hapo munaweza kuona nguvu ya pumzi aliyonayo Magufuli. Kwakifupi Magufuli amemuacha mbali sana lissu.
Lissu goes for quality and not quantity.
 
Mpaka sasa hajafika hapa uwanjani watu ni wengiwengi wengi sana sijui kama atafika kweli lisu apa

Atafika tu hata Tunduma alichelewa ila alifika na akaongea hadi saa moja kasoro jioni bila woga wowote.
 
Wakuu leo tena yule Mgombea Urais pekee wa Tanzania asiye na kashfa yoyote ile anaendelea kuchanja mbuga kwenye mikoa ya Rukwa na Katavi , ambapo itapigwa mikutano minne na mkutano wa Mwisho utapigwa jioni kabisa Mpanda Mjini .

Kwa Taarifa za uhakika kuhusu kampeni za Tundu Lissu endelea kubaki hapahapa JF


========
UPDATES
Jimbo la Kwela
View attachment 1573119View attachment 1573376View attachment 1573377

UPDATES 2
Nkasi Kaskazini akimnadi kamanda Alfred Sotoka

View attachment 1573381
Huyu ndo Raisi wa Tanzania 2020 - 2025. Hana wasanii, Hana fiesta , haongi 3000 au 5000 kujaza watu uwanjani ila kwa mapenzi makubwa, mamia na maelfu ya watanzania wanaenda kumsikiliza akiwapa sera bora na elimu ya uhakika!

Historia kuu lazima iandikwe mwaka huu, Tundu Antiphas Lissu anaenda kukianguaha Chama kikongwe Africa mwaka huu na kutawazwa na Mungu kuwa Raisi wa Taifa lake Tanzania 2020-2025
 
Nakubaliana na wewe comrade kabisa amani yetu ni muhimu sana. Hizi kauli za "mwaka huu patachimbika wala hatutokubali kushindwa " zikemewe vikali.
Kama mazingira hayako sawa hizo kauli zitatoka tu. Amini nakwambia.

Lakini kama uwanja wa ushindani ukiwekwa "level" nakwambia hutasikia hizi kauli za patachimbika wala nini
 
Kama mazingira hayako sawa hizo kauli zitatoka tu. Amini nakwambia.

Lakini kama uwanja wa ushindani ukiwekwa "level" nakwambia hutasikia hizi kauli za patachimbika wala nini
Mimi naamini mpaka tumeamua kuingia kwenye uchaguzi pande zote zimejiridhisha kuwa uwanja upo level. Kazi iliyobaki ni kwenda kushindana kwenye box la kura.
 
Mpanda Mjini
- Rukwa ( 359 X 640 ).jpg
 
Huyu ndo Raisi wa Tanzania 2020 - 2025. Hana wasanii, Hana fiesta , haongi 3000 au 5000 kujaza watu uwanjani ila kwa mapenzi makubwa, mamia na maelfu ya watanzania wanaenda kumsikiliza akiwapa sera bora na elimu ya uhakika!

Historia kuu lazima iandikwe mwaka huu, Tundu Antiphas Lissu anaenda kukianguaha Chama kikongwe Africa mwaka huu na kutawazwa na Mungu kuwa Raisi wa Taifa lake Tanzania 2020-2025
Hatimaye ccm imefika mwisho , kutegemea polisi kumewaponza , walionywa wakapuuza
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Back
Top Bottom