Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Rukwa na Katavi

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Rukwa na Katavi

Wakuu leo tena yule Mgombea Urais pekee wa Tanzania asiye na kashfa yoyote ile anaendelea kuchanja mbuga kwenye mikoa ya Rukwa na Katavi , ambapo itapigwa mikutano minne na mkutano wa Mwisho utapigwa jioni kabisa Mpanda Mjini .

Kwa Taarifa za uhakika kuhusu kampeni za Tundu Lissu endelea kubaki hapahapa JF


========
UPDATES
Jimbo la Kwela na Nkasi Kaskazini
Picha za Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Lissu, katika Uwanja wa Kashato, Mpanda Mjini, Mkoa wa Katavi, ukiwa mkutano wa 3 kwa siku ya leo, Ijumaa, Septemba 18, 2020, baada ya
Chala (Nkasi Kusini) na Kilando (Nkasi Kaskazini), mkoani Rukwa.
View attachment 1573632
View attachment 1573709View attachment 1573710View attachment 1573711View attachment 1573712View attachment 1573713View attachment 1573714View attachment 1573715View attachment 1573716View attachment 1573717View attachment 1573718View attachment 1573719View attachment 1573720View attachment 1573721View attachment 1573722View attachment 1573723View attachment 1573724View attachment 1573725View attachment 1573726View attachment 1573727View attachment 1573728View attachment 1573729View attachment 1573730View attachment 1573731
Mpaka raha
IMG_20200918_171042.jpeg
IMG_20200918_171002.jpeg
 
Watu waliohudhuria leo katika mkutano wa Lissu walikuwa wengi sana .Inawezekana wengine si CHADEMA lakini ilikuwa nyomi sana.Nimefuatilia kampeni za Lissu kadri siku zinavyoenda ndivyo hamasa ya watu inaongezeka katika kumsikiliza.
 
Binafsi nasikitika nina kadi ile ya mwaka 2015, sikuenda kufanya maboresho kutokana na upumbavu walioufanya kwenye uchafuzi wa serikali za mitaa, nilikasirika vibaya nikachukia ata kujiandikisha bt deni langu nitalilipa kwa kuhamasisha jamaa zangu.
Pole sana Vladimir Lenin waliokasirika kama wewe ni wengi sana na ndio wanaojaa kwenye mikutano
 
18 September 2020
Mpanda, Tanzania

Breaking news / Habari mpya za hivi punde

Tundu Lissu, Wana-Mpanda wamemkubali, na Polisi Pia!



c.c Erythrocyte
 
Wakuu leo tena yule Mgombea Urais pekee wa Tanzania asiye na kashfa yoyote ile anaendelea kuchanja mbuga kwenye mikoa ya Rukwa na Katavi , ambapo itapigwa mikutano minne na mkutano wa Mwisho utapigwa jioni kabisa Mpanda Mjini..

Kiukweli kabisa bila kumung'unya maneno, Tundu Antipas Lissu ndiye Rais wa A6 anayekuja akiwa CHAGUO LA MUNGU na Jiwe Kuu la pembeni lilokataliwa na Wajenzi(CCM)
Time gonna tell!
 
Mkuu, naona unapigania kweli kweli UJIRA wa elfu saba yako.
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.

Nimeiangalia hiyo picha nikatafakari sana.... hasa huyo kijana aliye na tshet nyekundu... yani inaonyesha hajashika pesa muda mrefu, hilo tabasamu la kilafi/uchu kwamba dah leo nimepata... anatamani hata apore yani kama jamaa anachelewesha mgao....
 
Back
Top Bottom