Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Iringa & Njombe, atoa pole kwa Vifo 10, Kwanini Chato ni agenda ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Iringa & Njombe, atoa pole kwa Vifo 10, Kwanini Chato ni agenda ya Uchaguzi

Lile chopa tuliloambiwa kwamba lingeruka vp? Mbona tunamchosha rais mtarajiwa?
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Mmeamua wewe na nani changudoa?
 
Mmeamua wewe na nani changudoa?
Wewe nilishakwambia siku nyingi matusi yote tukana ila hayatamuongezea Lisu kura hata moja!

Lisu hapati zaidi ya 20% ya kura! Na oktoba tunamrudisha kwa beberu wake Amsterdam! Hatutaki vibaraka sisi.

Magufuli tano tena, hutaki kunywa sumu ukafie mbali
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Washamba ndio wanaotumia neno mabeberu baada ya kukosa hoja, na ukiwauliza mabeberu ni akina nani hawajui, wana balozi zao nchini na zinafanya kazi gani...
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Nyie ccm Ila sisi wananchi ndio tunamtaka huyu rafiki wa mabeberu,nyie bakieni na bwanawenu china
 
Washamba ndio wanaotumia neno mabeberu baada ya kukosa hoja, na ukiwauliza mabeberu ni akina nani hawajui, wana balozi zao nchini na zinafanya kazi gani...
Sikushangai!

Mashabiki wote wa Lisu hawajui beberu ni nani ndio maana mgombea wenu kaenda ubelgiji kavamia beberu wake ndio anamtetea kila siku ili apate urais
 
Lissu ndiye rais wako wa awamu ya sita, kama hutaki rudi kwenu Burundi
Endelea kukaa hapo hapo ulipo, oktoba tutawafurahisha sana Lisu pamoja na huyo beberu wenu Amsterdam.
 
Rais ni Tundu Lissu hatutaki dikteta aliyeharibu uchumi wa nchi yetu na watu wake kwa kufanya maamuzi ya kukurupuka
 
Hahaha beberu ni yupi? Anatoa arv na condom bure au ni wale ambao wanachangia roadfund?
Wafuasi wote wa Lisu hamjui tofauti ya beberu na mfadhili kwa kuwa wote wana rangi moja.
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Hivi mabeberu ndio wakina nani hasa?
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Usitusemee watanzania , jisemee wewe labda na familia yako unayoilisha ile buk 7 mnazopewa kwa kung'ang'aniza na kugeuza uwongo kuwa ukweli!
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Duh! Ila mnamuogopa Amsterdam mpaka mnatia huruma. Vinginevyo NEC walipewaga maelekezo ya kulikata jina la Lissu,wakaogopa. Mnamuogopa beberu.
 
Haaaa haaaa, pale simba inapoiambia Yanga isijisumbue maana haitabeba kombe! Mimi ni mtanzania Lisu ndio chaguo langu.
Yap mko kama 20% hivi ya wapiga kura wote.
 
Haaaa haaaa, pale simba inapoiambia Yanga isijisumbue maana haitabeba kombe! Mimi ni mtanzania Lisu ndio chaguo langu.
Yap mko kama 20% hivi ya wapiga kura wote.
 
Lisu anajisumbua bure anajua kabisa hawezi kuwa rais!

Watz tumeshaamua kwamba hatuwezi kuchagua mtu ambae ataongoza nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam!
Atiiiiiiiiiiiiii niiiiiiiiiii?

Ungekuwa unapendwa hivi na watu kutoka moyoni ungeacha kuwa rais wao? Ebooh!
IMG_20200913_193311.jpeg
 
Back
Top Bottom