Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Tabora

Duh...huenda unanyofoa mpaka nywele zako kwa hasira ukiwa nyuma ya keyboard...tehteh...mitusi miiiiiingi...pole....kwamba picha zinakuwa edited...ukisoma ripoti ya Amsterdam iliyovuja hiyo ni dhahiri...
 
Nimesoma na mi ni engeneer, we ni mpumbavu aliemaliza masomo yake na sie alie elimika, mtu alieelimika sikuzote anakubali vitendea kazi vilivyopo na sio jina la chama, huwez kusema unaelimika kwa kuichukuia na madudu waliofanya nyuma, na huwez kusema unaipenda CDM kisa wanapinga kama vichaa, kuna kati ya hivi vitu viwili, ni either yur stupid with a degree au umeisingizia degree na we ni mlevi kama walevi wenzako wengine, msomi sikuzote anapinga kwa hoja na sio kuropoka
 
Hiyo ni mpaka wafanye editing ya picha na video, hawafanyi live streaming kuna wakati wanazomewa na wananchi. Waambie wafanye live streaming uone wanavyoumbuka.

Hata JPM huzomewa.
-
Na mara nyingi watu wanaozomea wanakuwa wametengenezwa .
-
Na huwa wanakaa sehemu moja.
-
Acheni unafiki, penye ukweli weka ukweli. TL amekuwa tishio na anawakilisha hisia za Watanzania wengi sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…