Too late!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Too late!!
Huwa mnaandika kana kwamba kura huwa anapiga au kuamua mtu fulani ila sio wapiga kura. Pakitokea machafuko nakuombea wewe ufe mapema tuKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Unakichaa weweKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
We ni kichaa asiejielewaIdiot at work
Anikumbusha aliposema amestaafu siasa 'some public figures do not keep thei words'
Mwerevu aonapo ujinga na kuunyamazia anaendekeza ujinga naye anakuwa mjinga. Siwezi kuwa mjinga kwa kuendekeza ujinga hapa home of great thinkers.Wewe niwakili wake kakuajiri uje umtetee mahakama ya mwanzo!?
Sawa, ni kwa nini uteseke wewe?
Subir uone moto wa twenty twentyKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Mataahira tu ndiyo wanaipenda CCM
Maneno hayavunji mfupa kamanda.Subir uone moto wa twenty twenty
Not true - ushindani upo kati ya vyama viwili - CCM na CDMTabora vyama vyenye nguvu viuwili tu CCM na CUF WENGINE TAKATAKA
Tabora upinzani Lipumba atapata kura nyingi kuliko Lisu tena atambwaga hasa.CCM itaongoza ikifuatiwa na CUF
Waache waendelee kumchuuza m.kiti.Wengine tayari walisha just watakapopatia ugali baada ya maji kukorogega.Not true - ushindani upo kati ya vyama viwili - CCM na CDM
Acha kujifariji !Huku hatuna wasanii,hatubebi watu kwenye maroli,hatupigi magoti kuomba kura tunakubalika !Hatuna roho mbaya ya kikatili !Hiyo ni mpaka wafanye editing ya picha na video, hawafanyi live streaming kuna wakati wanazomewa na wananchi. Waambie wafanye live streaming uone wanavyoumbuka.
Huyo kichaa umemwelewa mkuu?.Huna haja ya kujibu mamtu kama hayoNaona dawa imeanza kuwaingia hahhaaaha
Hotuba za Jemadari Lissu ni kama Dawa ya Stress hata kama hujapata mlo unajihisi umeshiba
Idot @ workWe ni kichaa asiejielewa
Tulia wewe zezeta.Mwerevu aonapo ujinga na kuunyamazia anaendekeza ujinga naye anakuwa mjinga. Siwezi kuwa mjinga kwa kuendekeza ujinga hapa home of great thinkers.
Kwa nini huo ujinga usiupeleke huko FB kwa wenzako?
Achana naiyo mifupa ..ishu kubwa nikwamba mbeya tupo vzurManeno hayavunji mfupa kamanda.
Mkuu angalia tar 28 usije ukapata heart failureZimebakia siku 12 ndio wanajaribu kushawishi wapiga kura,
CCM tumeshamaliza Miaka 4 iliyopita , wapiga kura wametuelewa na tunachosubiri tu ni kufunga mahesabu yetu Oct, 28.
CCM ushindi ni dhahiri.
Uongo huo !!!!!Tabora vyama vyenye nguvu viuwili tu CCM na CUF WENGINE TAKATAKA
Tabora upinzani Lipumba atapata kura nyingi kuliko Lisu tena atambwaga hasa.CCM itaongoza ikifuatiwa na CUF