Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Tabora

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Tabora

Kwako Kaburu Robert Amsterdam

Anafatananalo, unasema huyu anafatana na lile jitu kwanini?Manake sio heshima huyu kuandamana na yule.

Lakini unagundua anaandama hela. Ni, hii tabia ya kimalaya Malaya hii.

Na tunao wanasiasa wenye tabia ya kimalaya malaya namna hii, wananunulika.Heshima yao inauzwa, inabei.

Anakuuliza, fanya kitendo kadhaa ambacho ni kitendo cha aibu lakini anakuuliza ngapi baba ukitoa bei!ukimlipa!basi anakubali.

Mwanasiasa anatabia ya kimalaya Malaya hii!

Sasa dhahiri mtu mwenyetabia ya umalaya malaya kwasababu yeye ananunulika anafikiriki na wenzie vilevile wananunulika. Kwahiyo anatoka anakwenda kwa watu wengine kuzani watu wengine wanaweza kufanya vilevile mambo ya aibuaibu ambayo hayana heshima, alafu anajuta, anajuta.

Kuna majeshi duniani humu ni majeshi yanaitwa mercenaries walikuwa pale wako wako Congo pale wanaitwa mercenaries, nyinyi nyinyi vijana mnajua.

Itaendelea.
Naona dawa imeanza kuwaingia hahhaaaha
 
Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Ujenzi wa chama ni uimara was chama,unaonaje jinsi kilivyo jizatiti kupigania Uhuru,haki na maendeleo,kwa uwezo wenu mmeshindwa kumkabili,mnatafuta msaada kupitia mbeleko wezeshi.
 
Kwako Kaburu Robert Amsterdam

Anafatananalo, unasema huyu anafatana na lile jitu kwanini?Manake sio heshima huyu kuandamana na yule.

Lakini unagundua anaandama hela. Ni, hii tabia ya kimalaya Malaya hii.

Na tunao wanasiasa wenye tabia ya kimalaya malaya namna hii, wananunulika.Heshima yao inauzwa, inabei.

Anakuuliza, fanya kitendo kadhaa ambacho ni kitendo cha aibu lakini anakuuliza ngapi baba ukitoa bei!ukimlipa!basi anakubali.

Mwanasiasa anatabia ya kimalaya Malaya hii!

Sasa dhahiri mtu mwenyetabia ya umalaya malaya kwasababu yeye ananunulika anafikiriki na wenzie vilevile wananunulika. Kwahiyo anatoka anakwenda kwa watu wengine kuzani watu wengine wanaweza kufanya vilevile mambo ya aibuaibu ambayo hayana heshima, alafu anajuta, anajuta.

Kuna majeshi duniani humu ni majeshi yanaitwa mercenaries walikuwa pale wako wako Congo pale wanaitwa mercenaries, nyinyi nyinyi vijana mnajua.

Itaendelea.
Tukana uwezavyo lkn watanzania hatumtaki huyu kichaa na dikteta uchwara
 
Baada ya ujio wa Lissu Tabora , nyaraka hii yaanza kusambazwa

CCM Tabora mnajinyeanyea! _joy__joy__joy__joy__joy__joy_ . Kusikia mwamba anatimba Mboka Manye...jpg
 
Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Idiot at work
 
Tabora vyama vyenye nguvu viuwili tu CCM na CUF WENGINE TAKATAKA
Tabora upinzani Lipumba atapata kura nyingi kuliko Lisu tena atambwaga hasa.CCM itaongoza ikifuatiwa na CUF
Si kweli mi nipo sikonge tbr saiz cdm inaitesa ccm mpaka wanapoteana
 
Back
Top Bottom