Mwamba wa Kifo
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 268
- 164
Geti la Ikulu haliko mbali
Ha ha ha ha haaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Geti la Ikulu haliko mbali
Kama huipendi CHADEMA kwanini unafuatilia taarifa zake!? Unahangaikaje na kitu usichokipenda, Mimi sipendi kabisa kusoma magazeti ya habari leo, Uhuru, Jmvi la umbea na pia chaneli za Tv kama TBC, Chanel Ten nyingine za mapambio, hivyo huwa sijishughulishi kabisa hata kufungua tua au kutazama kichwa au habari yoyote!Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Wewe huo ukamanda nani kakupa, wewe ni gasho tuu mtoto delicious kabisa unajiita kamanda?!.Kamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Mwambieni Lisu MSHINDANI WAKE AMBAYE ni saizi yake ni Lipumba tu sio CCMusidangaye watu CUF ishajifia kitambo
Ila pia wapo wanachama waliokua wanalalamikia kitendo cha kuwasimamisha wabunge waliounga juhudi mkono waendelee kupeperusha bendera ya chama tawala. Je hiyo ni demokrasia?Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
huyo mzee ni tawi la CCM, anatembea na laana ya ubaguzi mgongoni kwake ...kaiua CUF kwa mikono yake!!Lisu LIPUMBA aweza mbwaga kura ana nguvu kwa upande wa upinzani sababu kanda ya ziwa wanamjua na mikoa ya Pwani na DAR ES salaam wanamjua na mikoa ya kusini na Zanzibar wanamjua.Aeweza kuwa mshindi wa pili kura za uraisi baada ya Magufuli
Mcheki HAPO YUKO KIGOMA
Tunamtakia heri na mafanikio. Tuendelee kuchangia kampeni zake hadi mwisho.Kama kawaida yetu , leo tena tuko hewani kuwaletea kila kinachoendelea kwenye kampeni za Mgombea Urais anayeongoza kwenye kura ya maoni , ambapo leo atakuwa anaendelea kuomba ridhaa ya wananchi Mkoani Tabora .
Endelea kutufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
View attachment 1601870
========
Poor prophet!Kamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Mungu wa watu wanaonunulika na Makaburu.Yah ni kweli kabisa watu wamekesha huyu LISSU katumwa na MUNGU
Elements of Madilu System.Huoni Mataga wenzio walivyo pagawa, pamoja na kuhodhi vyombo vyote vya Habari,na mabango nchi zima,lakini imebidi waje kuomba kura za kwenye Twitter,
CCM kutoka chama Tawala hadi chama cha fiesta na mabango.
Ndugu wahi mirembe ukaanze matibabu kabla hali haijawa mbayaKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Kwani unaumia kunywa panadol upoze maumivuHiyo ni mpaka wafanye editing ya picha na video, hawafanyi live streaming kuna wakati wanazomewa na wananchi. Waambie wafanye live streaming uone wanavyoumbuka.
Umezaliwa mwaka gani?Sasa hiyo CCM miaka 60 iko madarakani imetufikisha wapi...!!?
Asante sana wana Tabora mpooooo!!Kama kawaida yetu , leo tena tuko hewani kuwaletea kila kinachoendelea kwenye kampeni za Mgombea Urais anayeongoza kwenye kura ya maoni , ambapo leo atakuwa anaendelea kuomba ridhaa ya wananchi Mkoani Tabora .
Endelea kutufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
View attachment 1601870
========
The man is blessed. Mimi ni kijana lakini spana za Lissu nanyosha mikono. Jamaa analala saa ngapi??This guy is serious.
Mhh, badilisha mganga,hiyo ramli kakupiga kinomaKamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Huyo mzee asicheze na maisha ya Watanzania Watu tumepinda yeye analeta mzahahuyo mzee ni tawi la CCM, anatembea na laana ya ubaguzi mgongoni kwake ...kaiua CUF kwa mikono yake!!
kwanza arudishe hela yetu ya walipa kodi .. ile waliyokuwa wanakwapua hazina kupitia msajili wa vyama wanakwenda wanagawaniana kule magombeni...
Yule kicheche ndiye kakutuma kuja na huu UTP kujaribu karata hii kama inanaweza kuwa na uungwaji mkono wowote?Kamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Lipumba anaenda kimya kimya ila moto wake Lisu ataujua tarehe 28 october.Kura Atakazopata zaweza kuwa nyingi kuliko za Lisu .Lisu kelele na fix nyingi mitandaoni ,Lipumba mpango huo hana yeye ni moto chini kwenye kampeni tuhuyo mzee ni tawi la CCM, anatembea na laana ya ubaguzi mgongoni kwake ...kaiua CUF kwa mikono yake!!
kwanza arudishe hela yetu ya walipa kodi .. ile waliyokuwa wanakwapua hazina kupitia msajili wa vyama wanakwenda wanagawaniana kule magombeni...