Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

kisichoniua kitanikomaza kiaskari na unaponichukia unamaanisha mi mkali hongera king kiba huna masifa ya kijinga we ni kazi tu kelele waachie kunguru
 
zinaangaliwa kura na wala hakuna hujuma hapo kama haukupiga kura nyamaza
 
Kwa utumbuizaji sawa, jide hayupo kihivyo, ila kwa ubora tu, jide hana mpinzani, vee hana ubora wa kihivyo kumizid jide

Kumbe Warumi nawe una kichwa kigumu!!? Watu wameangalia performance ya mwaka 2014/15 na Jide hakufanya vizuri kipindi hicho sasa kwanini apewe, kama unataka kuangalia historia basi msanii bora hip hop apewe Prof. J.
 
alikua mke sugu wakazaa mtoto mmoja.....mambo yakaenda mlama wameachana mwaka jana (kma sijakosea)
 
Mi nimeumia Bella kukosa hata moja.
Nashindwa
Nani kama Mama
 
zinaangaliwa kura na wala hakuna hujuma hapo kama haukupiga kura nyamaza

diamond hakuomba kura hata moja na walam hakueka kwa bio yake sasa watu walitegemea miujiza itendeke
wakati kiba hadi alifanya photo shoot ya kuomba kura

wasidharau KTMA kwani hata huyo diamond alishazisifiaga na kusema zilimtangaza

kingine bella na hao ya moto pamoja na boss wao sikuona kama walikua na muamko kuomba kura
sasa kama hizi tuzo wanaona ni za kawaida waache kulalama
 
Mleta mada nenda katafute mwanaume akupumilie kisogoni ili upunguze jazba hizo.

Kwa mara ya kwanza KTMA wamefanya maamuzi sahihi katika kutoa tuzo.
 
Kumbe Warumi nawe una kichwa kigumu!!? Watu wameangalia performance ya mwaka 2014/15 na Jide hakufanya vizuri kipindi hicho sasa kwanini apewe, kama unataka kuangalia historia basi msanii bora hip hop apewe Prof. J.

Mgumu kuelewa mama ako mzazi mxiuuu, achana na mm
 
Hakuna cha kura zilizoangaliwa na upumbavu mtupu,NYIMBO KAMA NANI KAMA MAMA,MSALITI,HANITAKI TENA.hazihitaji kura kuonekana ni nzuri hata kiuchumi zimeuzika sana.labda wanampigia mtu kura bt si kazi aliyo fanywa na msanii.
Team kiba,niambieni ni nyimbo ipi ya kiba inafunika hzo nyimbo hapo juu au mnapiga domo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…