Pampula jr
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 606
- 192
kisichoniua kitanikomaza kiaskari na unaponichukia unamaanisha mi mkali hongera king kiba huna masifa ya kijinga we ni kazi tu kelele waachie kunguru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalalamika tu wakati hata kura hukupiga
Akuna cha kura mambo mengine ayaitaji kura.yapo wazi tuu
Kwa utumbuizaji sawa, jide hayupo kihivyo, ila kwa ubora tu, jide hana mpinzani, vee hana ubora wa kihivyo kumizid jide
Usifikiri kupiga kura ndio kigezo pekee kilichotumika TUKUBALI TU KTMA bado sana,frankly speaking
Wewe unajielewa kwa kulalamika tu wakati hata kura hukupiga.....mimi nisiejielewa nimempogia kura msanii na amechukua tuzoHizi ndo kauli za watu wasiojielewa...
zinaangaliwa kura na wala hakuna hujuma hapo kama haukupiga kura nyamaza
Kumbe Warumi nawe una kichwa kigumu!!? Watu wameangalia performance ya mwaka 2014/15 na Jide hakufanya vizuri kipindi hicho sasa kwanini apewe, kama unataka kuangalia historia basi msanii bora hip hop apewe Prof. J.
Mi nimeumia Bella kukosa hata moja.
Nashindwa
Nani kama Mama
Wewe unajielewa kwa kulalamika tu wakati hata kura hukupiga.....mimi nisiejielewa nimempogia kura msanii na amechukua tuzo