Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Tunapga kura kwa kujisikia na hatuendeshwi na matukio. Mi napigia mwanamziki mzuri basi.
Kiba hajawahi kuwa na dharauBinafsi napenda maendeleo ya mziki wetu na napenda uzid kwenda mbele zaid...ushaur: Diamond na kiba kutanen mtoe tofaut zenu na mje na collabo itakuwa vzr zaid kwa afya ya mziki wetu....'.sio vibaya kat yenu mmoja akajishusha kwa mwenzake ili mazungumzo yaende vizur,,,majivuno, dharau kibur myaepuke panapostahil mtu kuheshimiwa kutokana na nafas yake kimzik bas mpeane heshima hzo upendo aman na mshikamano mtafika mbal ona hiz team team znafanya wasanii wengne wakumbwe na vimbunga vya team hz. Mmoja wen akipigiwa kura akishinda asilete dharau kwa mwenzie pia team znaharb mziki mfano tuzo za kimataifa kura zinapigwa na team zote ila ushind unapopatikana ni masimango kejel kwa team nyingne sasa umoja hauwez kuwepo kwa mtindo huu plz malizen tofaut zenu mje na collabo hapa mashabik tupo tayar kuwaunga mkono mkiwa kitu kimoja! To gether we made!
Kubishana na mtu alojeruhiwa moyo kwa mshtuko wa taarifa ni sawa na kutaka kujaza maji kwenye chujio.
Jana na leo nmeona id mpya nyingi sana.Kweli kuna mashabiki failure wengi mno.
Nilifikiri unajenga alichobomoa Lemutz kumbe Una akili fupi na wewe...
Umeendelea kubomoa...tuu .
Kwan ukimpigia kura Diamond unapata faida gan kama Mtz zaidi ya stress za matusi tu akishinda??
Hahahahaaa, wewe waache tu wapige kelele kama kawaida yao, sie tushafanya yetu.
Napenda mziki mzuri, nasupport mafanikio ya wakwetu, Sioni sababu ya kutumia nguvu nyingi na kushawishi watu wafanye unavyotaka wewe...hii inaonyesha Hindi gani tulivyokuwa na mapungufu. Tena makubwa..
Hahahahaaa, leo wanatapikaje huko waliko? Hakika leo tumewachapa kinoma nomaaaa...lol
Hawajawahi kuwa na siku mbaya kama ya leo!
Mleta uz viroba vinakuhusu.
Datz true dai hawajamtendea aq
wadada wazuri ila mna roho mbaya sijawahi ona
Mwehu mwenyewe tena mazafanta ina huuuuuuuuuuuuuuuuuu? Mnatokwa povuu kama vile wew ni bikra kumbe unalibwawa linalofuga kambale.
Malaya umewaona akina jokate tu? Huo uchi wako ninaweza nikaingiza mikono yangu miwili nikapiga makofi kwa ndani sasa jiulize nani fuska. Nyooooooooo.