Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015


Eeeeee,!!!!!!!! Amaaaaa kweeeli
 
Acha tu hapa nilipo nimeshikiliwa maana naweza kuanguka japo nimekaa....lol
Bora wamtaje Jux ili kuzima beef maana akiwa kiba au Diamond yaani sipati picha zile team wakiongozwa na le mutuz
 
Mhhhhh kwanini uhusishe uchaga na ARUSHA kupokea tuzo aisee wala ushindi hauhusiki na unywaji wa Bia. Tuzo unaweza isiwe fair lakini si kwa hizo sababu ulizotoa.
Harsty generalization ni false.
 
+Zimebaki category ngapi maana kuna watu walisema leo wanabeba zote 7.

+Hivi ile record itavunjwa kweli ngoja tuone.
 



mnaumiza akili Sana juu ya huyu dogo, mweusi kapiga kazi last year
 
hivi huyu kocha wa zamani wa man u lazima mchupi uonekane
 

Unachosema nikweli mkuu" Fid ajatoa ngoma hata1 iliyohit vp apewe. Joh katoa I see me #Xo Nikumbatie NusuNusu Fid yukwapi. Acha Joh abebe tu anafanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…