HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Huyo Joh Makini ni kwasababu ya 2.
1.Meneja wa TBL ni Mchagga,2.Arusha inaonekana wana kunywa sana Bia.3.ni Rafiki yake hakuna ambae hajui Hilo,Huyo JOH Makini jamani??????zero kabisa!
Anyway wao ndo wameandaa na wana influence nani ashinde Kaka!
Ndo Maana tuzo zimepoa sanaaaa
Eeeeee,!!!!!!!! Amaaaaa kweeeli