Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Diamond anaimba nigerian flava,hyo category haikuwepo,tuzo zake akachulie nigeria,msituharibie mziki wetu.

Mimi simo,nawaangalia tu
 

Attachments

  • 1434262112006.jpg
    1434262112006.jpg
    22.5 KB · Views: 302
junior252 Kwani nani alikuwa anapiga kura? Usikute unaowasema hapo ni wapiga kura na siyo KTMA.
 
Last edited by a moderator:
Kuna kila dalili ya ndimu na malimao kupanda bei wiki hii.
 
Mmmh, mara avae pampers, mara avae shati... Huyu si mzima
 
How come Christian Bella anakosa tunzo..........hovyooo kama watia nia wa chama f'lani hivi
 
Ukweli huyu mtoto amezaliwa tz kimakosa. Ana roho ya kizungu hivyo achangiwe nauli arudi kwao kwa wenye utamaduni huo. Sijui kama ngeli inapanda.
 
Poleni sana mlioumia..Bongo ndo hii zaid ya unavyoijua..mm nliisha futa kitu kinaitwa tunzo au tuzo hapa bongo katika mawazo yangu maana ntabaki kunung'unika tu na kupunguza siku zangu za kuishi.
 
Bahat mbaya weng hawajui kuwa slogan ya ktma ni "kiburudisho cha kikwetu kwetu" hatuangalii huko nje unafanya nini bali tunaangalia ni kwa kiasi gani unachofanya kinakubalika hapa nyumbani.
 
mi niliiona tangu mwanzo kuwa iko boring, nikalala hata matokeo sikuyajua, nikasema nitaingia JF asubuhi nipate habari zaidi.
 
Tuzo za ktma ziliniboa sana sijui kama ntazifatilia tena na hii sio sababu ya MTU mmoja but watu wengi walistahili lakini hawakupewa
 
Unafanya mambo unaona sifa lakini wanaathirika watoto wake huko mbeleni maana watakuwa wanaona picha za mama yao.
 
Mtu kama Christian Bella amekosa hata tuzo moja? Jamani are we serious? Haya, ommy dimpoz hata kuwekwa kwenye kipengele hata kimoja hamna? Haya, yamoto band kupata tuzo moja tu? Ovyo ooh! Wasengerema hawa!
 
Hata mwenda wazimu huwezi kumwaminisha kuwa wimbo wa " mwana" ulikuwa bora kuliko " nani kama mama?" wa Bella

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Bella na alivyokuwa juu last year amekosa tuzo.

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Yamotoband walivyokuwa juu na nyimbo kibao eti wa tuzo moja!!

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa mchezaji wa ligi ya mchangani ( alikiba)ni mchezaji bora kuliko mchezaji wa timu kubwa Afrika (diamond) ambaye afrika nzima inamuweka katika nominees za msaanii bora afrika nzima wakiwa watano pekee huku na yeye akiwemo

Eti mtu kama huyo..ambaye kila tuzo inayotolewa afrika iwe mtv mama,bet na zinginezo lazima wamweke kwenye kipengele cha msanii bora wa kiume afrika...etikwa nchi maandazi tanzania kuna kibaka ambaye hata dimpozi na sheta wanafahamika afrika kuliko yeye..eti ndo bora!! ovyoooooooo....


Na ka style hii ya vibovu kuonekana bora usishangae Lowasa ndo akawa raisi...kwa sababu hii nchi naona ovyoo tu na haina mbele wa nyuma!!


Ovyoooooooooo!!!!

Yaaani bora ningezaliwa Somalia kuliko Tanzania,nchi imejaa wanafiki na watu wasiojielewa eti kisa tu mafanikio binafsi ya mtu.
Ovyoooooooooooooooooo
 
Watu wengne bhana usikute hata kura hujapiga kazi kutoa povu..... Kwan diamond n nan mpaka achukue yeye mwenyew ana mchango gani mpaka awe yeye wote si ni wasaka tonge sasa kwann apewe Ally kiba enyew ... Kwahyo bila hao akina alikiba diamond angeshindana na nan Mawazo mgando hayo

Ally Hana jipya kwa wimbo gan haswa? Kucheza hajui wimbo mmbaya! Hana uwezo wowote ndio mana hakuwepo wamembeba sana! Hawawezinkuxuia mafuriko kwa mikono
 
Back
Top Bottom