ndaroj
New Member
- Jun 12, 2015
- 1
- 0
Diamond anaimba nigerian flava,hyo category haikuwepo,tuzo zake akachulie nigeria,msituharibie mziki wetu.
upo sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond anaimba nigerian flava,hyo category haikuwepo,tuzo zake akachulie nigeria,msituharibie mziki wetu.
Diamond anaimba nigerian flava,hyo category haikuwepo,tuzo zake akachulie nigeria,msituharibie mziki wetu.
Mmmh mara avae pampas mara afae shati..huyu si mzima
Hata mwenda wazimu huwezi kumwaminisha kuwa wimbo wa " mwana" ulikuwa bora kuliko " nani kama mama?" wa Bella
Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Bella na alivyokuwa juu last year amekosa tuzo.
Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Yamotoband walivyokuwa juu na nyimbo kibao eti wa tuzo moja!!
Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa mchezaji wa ligi ya mchangani ( alikiba)ni mchezaji bora kuliko mchezaji wa timu kubwa Afrika (diamond) ambaye afrika nzima inamuweka katika nominees za msaanii bora afrika nzima wakiwa watano pekee huku na yeye akiwemo
Eti mtu kama huyo..ambaye kila tuzo inayotolewa afrika iwe mtv mama,bet na zinginezo lazima wamweke kwenye kipengele cha msanii bora wa kiume afrika...etikwa nchi maandazi tanzania kuna kibaka ambaye hata dimpozi na sheta wanafahamika afrika kuliko yeye..eti ndo bora!! ovyoooooooo....
Na ka style hii ya vibovu kuonekana bora usishangae Lowasa ndo akawa raisi...kwa sababu hii nchi naona ovyoo tu na haina mbele wa nyuma!!
Ovyoooooooooo!!!!
Watu wengne bhana usikute hata kura hujapiga kazi kutoa povu..... Kwan diamond n nan mpaka achukue yeye mwenyew ana mchango gani mpaka awe yeye wote si ni wasaka tonge sasa kwann apewe Ally kiba enyew ... Kwahyo bila hao akina alikiba diamond angeshindana na nan Mawazo mgando hayo