Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
km hv yaani halafu tushindwee
Et daaah hali iyo/hii anakosaje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
km hv yaani halafu tushindwee
yaani wewe ubongo wako nukta,alafu akili ilichoka ni mzigo kwa miguu,kwa matokeo ya washindi ina maana katika uhalisia wao ndio wanaoweza kuliko washiriki wengine.Ulipiga kura?
Thanks god,semeni mtakayosema ila tuzo hz kama jux asingepata tuzo zingekuwa meaningless kwa upande wangu jamaa anajua kuimba alafu anatoa hit juu ya hit.big up to him popote alipo na fans wake wa ukweli
Haaaaaaa mie uwanjani kwangu sitaki njumu.. Uko tayari...
Tuzo zilikuwa za Africa? Unawalazimisha mashabiki wa Kiba wa Vote kwa Diamond?Diamond awamtendei haki uwezi mfananisha ally kiba ambaye ajulikani AFRICA
eti ni kweli DIAMOND alisema hamna hotel ya yeye kulala MBEYA kwa hadhi yake????
Tuzo zilikuwa za Africa? Unawalazimisha mashabiki wa Kiba wa Vote kwa Diamond?
Alitegemea angepigiwa kwa kwa kumpa zari mimba
ndo mawazo yako yalipoishia au sio
Mtu aliyepewa icon na rais kwa kuzid kuitangaza nchi yake anaonekana sio bora
Nchi ovyoooooo
nimeamini ule utafiti wa IQ za watanzania....basing on upuuzi wa watu kama mtoa mada lazima wabongo wengi ni mataahira.....VIGEZO VILIKUWA MDOMO MSAFI AU UWEZO WA MZIKI
Na akose tu,hamna tena jinsi. Kumpigia mwaka jana mlisema kwa kuwa anaiwakilisha Tanzania na tuweke uzalendo mbele. Sahv hata sitopiga tena maana mkishinda mnajisahau mnamuona anajua zaid ya wote. Ataishia kupata video bora bongo tena mwisho mwaka huu
yaani wewe ubongo wako nukta,alafu akili ilichoka ni mzigo kwa miguu,kwa matokeo ya washindi ina maana katika uhalisia wao ndio wanaoweza kuliko washiriki wengine.