Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa atakuwa anakula bata labda.
WEWE NAWE UKO NCHI GANI,untill this you dont know that kiba&nasib they are in beef/ mbona hujawahi hata kusikia colabo yao,na je msanii gani maarufu mwingine tz ambaye hajawah kufanya colabo na either kiba or dangote?,mbona ni wao tu hawajafanya! mpaka hapo bado unasema hawana bifu eti beef linakuzwa na mashabiki! na je hujui kuwa wao wangepatana na makundi nayo yangepatana mara team kiba, mara team dangote ingekuwa ended!
good words ndg
bata lipi tena mpaka leo? King njo tupige kazi
Tanzania ndio maana tunaitwa"bongo lala" Leo tunampiga vita Daimond,akipotea huyo kiba ataweza kupepea bendera ya bongo afrika?wakati yk katika game siku nyingi bila kufikia viwango???
Hili bifu lina manufaa kwa kiba kuliko daimond nimethibitisha msururu wa tuzo zimewasahau hata wakina dimpoz na mavoko kweli hatari
Hii ya huku nimeipenda as people talks facts and rather maushabiki ya hovyo
Kiba hajawahi kuwa na dharau