Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hawa sponsors nao wawe waangalifu kwa sababu kwa matokeo haya wala jhamna msisimko tena. Na kwa aina ya upigaji kura yaani hata kama wimbo wako ni mbaya ukipata tu promotion na ushabiki wa kupigia kura basi unashinda.
Hamna mtu yoyote ataamini matokeo hayo including Ali Kiba mwenyewe it is so bada as ushindi wa kubebwa.
Jamani hata uende darasa la kwanza seriously mtumbuizaji bora ni Ali Kiba?!?!?!?. hata ukiwa Team Kiba kweli moyoni unaamini hivyo? kwa utumbizaji gani?!?
Wimbo biora wa mwaka Mwana DSM sijui???? Vs Nani kama Mama. Waandaaji na sponsors tafuteni namna bora ya assessment otherwise mtaua muziki wa Tanzania na kushusha credibility yenu. Sponsor hata bidhaa mnayotangaza tutaanza iona ni feki kutokana na matokeo FEKI!
 
Poleni sana dunia kwasasa inajua Hakuna kama diamond Davido aliposikia kaandika vitu vyake anasema ni Sawa kwani daimond ni msanii wa kimataifa aziache hizo tuzo za wasiojiweza
 
Lile zee linang'ang'ania BASATA ndio wanaohujumu tuzo ili wamkomoe Diamond. Yule anatumiwa na habari zake ninazo zote, kama anajiamini alete hayo matamkoz yake huku aone.

hahahaaaaaaa uwiiiiiiiiii nicheke kwa raha mie!!
Bwana matamko bado tu hajawasilisha hoja? teh!
 
Tulia bibie moja ikae mbili ikae.
Kama hujaongelea issue ya davido ungetuliza mshono coz comment niliyoitoa nilisema kwamba "mbona yeye anatoka na wa nje lakini sisi roho inawauma tukivote for davido? Ndo mazungumzo yalipoanzia upooo?
Sasa kwa kua ile comment ilimzungumzia davido na ndo chanzo cha mjadala wote huu y davido akae pembeni.
Stress za tuzo zinakutwanga tulia kunywa peps mimi na vote for Davido full stop.

ooh mama !!
hahahaaa nimecheeeeeka. Not rait jameni!
 
Tulia bibie moja ikae mbili ikae.
Kama hujaongelea issue ya davido ungetuliza mshono coz comment niliyoitoa nilisema kwamba "mbona yeye anatoka na wa nje lakini sisi roho inawauma tukivote for davido? Ndo mazungumzo yalipoanzia upooo?
Sasa kwa kua ile comment ilimzungumzia davido na ndo chanzo cha mjadala wote huu y davido akae pembeni.
Stress za tuzo zinakutwanga tulia kunywa peps mimi na vote for Davido full stop.
Ha ha ha na hii ndo team pwanya hakunaga fact but matusi....haya popcorn
we hata ukimvotia nani kura yako mb zako mi huko sipo muache chuki za mapenzi otherwise mnautaka muhogo wake ni hayo tu kura njema
 
kama diamond kakosa tuzo kwa sababu ya mdomo mchafu, japo yote ni ya uzushi tuuu, mara alisema hili mara lile, sasa je, barnaba au bell9 hao nao hukosa kwa sababu gani?? nao wana vyodo? au wanaskendo za wanawake?? kwa nini hamkuwapigia kura waliwakosea nini kwani? mtu huitaji akili kubwa sana kuona wazi kuwa hizi zote ni fitna tuu, na kwa sababu hakuna mwenye sababu ya msingi ya kumchukia dai basi mtakuja na sababu za ajabu ajabu kupitiliza.
Hamna lolote zaidi ya chuki za uEX shemeji ishatoka hiyo ikirudi pancha....dai namuombea tu azidi kutupa burudani hayo mengine nawachia wengine
 
Ha ha ha na hii ndo team pwanya hakunaga fact but matusi....haya popcorn
we hata ukimvotia nani kura yako mb zako mi huko sipo muache chuki za mapenzi otherwise mnautaka muhogo wake ni hayo tu kura njema

Kwamba ulitegemea Tanzania nzima wamshabikie Diamond? Hivi hujajiuliza tu ni kwa nini Simba au Yanga wanashangilia timu za nje zikija Tanzania?

Africa ni moja na Davido ni mwafrica mwenzetu mimi tayari nimeshampigia. Mimi si mpenzi ngololo naona makelele tu .
 
Kwamba ulitegemea Tanzania nzima wamshabikie Davido? Hivi hujajiuliza tu ni kwa nini Simba au Yanga wanashangilia timu za nje zikija Tanzania?

Africa ni moja na Davido ni mwafrica mwenzetu mimi tayari nimeshampigia. Mimi si mpenzi ngololo naona makelele tu .
Hata sijakuelewa hebu calm huo mstari wa kwanza ulikuwa wasemaje? Hakuna tatizo ukimpigia kura umtakaye wewe ndo maana wakawekwa watu kibao ili watu wachague otherwise angeekwa davido peke ake au diamond peke ake....nakutakia upigaji kura mwema
 
Hata sijakuelewa hebu calm huo mstari wa kwanza ulikuwa wasemaje? Hakuna tatizo ukimpigia kura umtakaye wewe ndo maana wakawekwa watu kibao ili watu wachague otherwise angeekwa davido peke ake au diamond peke ake....nakutakia upigaji kura mwema

Masahihisho: ulikuwa unategemea Watanzania wote wamshabikie Nasib?
 
kama diamond kakosa tuzo kwa sababu ya mdomo mchafu, japo yote ni ya uzushi tuuu, mara alisema hili mara lile, sasa je, barnaba au bell9 hao nao hukosa kwa sababu gani?? nao wana vyodo? au wanaskendo za wanawake?? kwa nini hamkuwapigia kura waliwakosea nini kwani? mtu huitaji akili kubwa sana kuona wazi kuwa hizi zote ni fitna tuu, na kwa sababu hakuna mwenye sababu ya msingi ya kumchukia dai basi mtakuja na sababu za ajabu ajabu kupitiliza.

Barnaba na belle wamekosa kwasababu kura hazikutosha kufanya wawe washindi

Na hawakupgiwa kura kwasababu idadi kubwa ya mashabiki ni wa kiba na naseeb

Sasa unategemea mashabiki Wa dai au kiba watawapgia kura belle 9 na wenzake wanapowekwa na Dai au kiba kwenye kipengele kimoja?
 
Back
Top Bottom