Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naungana na Hayati Magu siasa ni kipindi cha uchaguzi na kila mtu jimboni kwake!
 
Salaam

Hapa gomz mwisho wanapotengeneza stand ya mwendokasi.

Imepaki chuma moja mpyaa ( Mercedes-Benz) spesho kwa ajili ya kutawanya wanao sema wataandana leo.

Najua kila upande wana point zao na msingi kuandamana/kuzuia maandamano , Kwangu mimi naona ndugu zangu tufanye kazi tu kwa uwaminifu na kufuata sheria za nchi. Mapungufu yapo kwa serikali ila fikiria sana familia yako kabla hujaandamana.

Najua mtanitukana sana kwenye comment ila habari ndio hiyo.


Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…