Wacha propoganda uchwara.Weka picha tuone huo ukweli.Hata mimi naweza kusema nipo juu ya Mlima Kilimanjaro.Support your statement with evidence.Niko Ilala Mtaa wa Arusha, Naanzia kituo cha Boma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha propoganda uchwara.Weka picha tuone huo ukweli.Hata mimi naweza kusema nipo juu ya Mlima Kilimanjaro.Support your statement with evidence.Niko Ilala Mtaa wa Arusha, Naanzia kituo cha Boma
Tatizo lenu wana ccm hamna uwezo wa kushindana na upinzani hasa chadema bila ya kutumia policcm kubakia hapo. Ni sheria ipi inayokataza watu kuandamana kwanini policcm wavunje sheria ya kuzuia watu kupaza sauti zao pale panapotokea matukio yanayosababishwa na nyinyi?Hakuna kiroboto wala paka wa CHADEMA hata mmoja kaingia barabarani mpaka sasa. Hata Erythrocyte na Msanii tunao humu wanaandamana kwa kuandika tu
Nyumba yake kumbe haina mageti kama ya Boni Yai.Ni kama hizi za kwetu.Leo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania. Siku ya maandamano ya wananchi wakiongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama hiko; amefafanua kwamba lengo la maandamano hayo ni kupinga wimbi na matendo mabaya yanayoendelea nchini ya utekaji nyara, kupotea kwa watu na mauajo ya raia. Wananchi wamelinyooshea kidole jeshi la polisi kutokana na mazingira ya upoteaji wa watu. Watu wengi wameripotiwa kupotea baada ya kuitwa vituo vya polisi.
Tupeane updates za picha na matukio yanayojiri kwenye maandamanp haya ya haki.
Tukutane barabarani.
View attachment 3103926
Tundu Lisu akamatwa ahsubuhi hii
HakikaMwenzenu sijibu chawa vichaa. Wote nimewaweka kwenye Ingnore list, wakiniquote watajijibu wenyewe sioni, sina time nao. Dawa ni hiyo wote tukiwaweka huko 🚮 watajikuta wenyewe.
Leo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania. Siku ya maandamano ya wananchi wakiongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama hiko; amefafanua kwamba lengo la maandamano hayo ni kupinga wimbi na matendo mabaya yanayoendelea nchini ya utekaji nyara, kupotea kwa watu na mauajo ya raia. Wananchi wamelinyooshea kidole jeshi la polisi kutokana na mazingira ya upoteaji wa watu. Watu wengi wameripotiwa kupotea baada ya kuitwa vituo vya polisi.
Tupeane updates za picha na matukio yanayojiri kwenye maandamanp haya ya haki.
Tukutane barabarani.
View attachment 3103926
Tundu Lisu akamatwa ahsubuhi hii
Ah..ah...Kuna uwezekano mkubwa kuwa hayo magari ya polisi hayajabebwa askari wa kutuliza ghasia (Field Force Unit (FFU)). Yaani, hao ni makomandoo ndani ya uniform ya FFU!!
![]()
Mabwege tu, wakijichanganya watapigwa mpaka wanyeHakuna lolote
WANANCHI fanyeni kazi kuinua uchumi wenu 🐼
🔨🔨🔨🔨Wakuu,
Siku ya waliyosema chadema kufanya maanadamano kwaajili ya kupinga utekaji na watu kuuliwa na watu wasiyojulikana imefika.
Fuatilia uzi huu kwa matukio ya moja kwa moja kwa siku ya leo na yatakayojiri kwenye maandamano hayo.
Asubuhi imeanza kwa kwa taarifa ya Lissu kuzingirwa na polisi na kutakiwa kwenda kuripoti katika ofisi ya RCO Kinondoni, ambapo amekubali kwenda kuitikia wito.
Kwa Lissu wamechemka Sana, hawataweza KAMWEWakuu,
Siku ya waliyosema chadema kufanya maanadamano kwaajili ya kupinga utekaji na watu kuuliwa na watu wasiyojulikana imefika.
Fuatilia uzi huu kwa matukio ya moja kwa moja kwa siku ya leo na yatakayojiri kwenye maandamano hayo.
Asubuhi imeanza kwa kwa taarifa ya Lissu kuzingirwa na polisi na kutakiwa kwenda kuripoti katika ofisi ya RCO Kinondoni, ambapo amekubali kwenda kuitikia wito.
YANGA BINGWA
Wamewapuuza na kazi zinaendelea kama kawaida huku Polisi wakishika doria kama yoteHakuna lolote
WANANCHI fanyeni kazi kuinua uchumi wenu 🐼
Wamewapuuza na kazi zinaendelea kama kawaida huku Polisi wakishika doria kama yoteHakuna lolote
WANANCHI fanyeni kazi kuinua uchumi wenu 🐼
Si watamtia korokoloni tuu ,yeye na Mbowe sukumia ndaniKwa Lissu wamechemka Sana, hawataweza KAMWE
Nimekusoma sana mkuu '1000digits',; lakini huu mstari pekee ndio ulio amsha hisia zaidi ya yote uliyoweka kwenye andiko lako refu.
Hakuna namna nyingine ya kuyatazama haya yanayo tokea ndani ya nchi hii wakati huu.
Wainue uchumi toka wapi?Hakuna lolote
WANANCHI fanyeni kazi kuinua uchumi wenu 🐼