Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo haturudi nyuma maandamano yapo palepaleHivi ndiyo tuseme kweli serikali ndiyo imefikia this level of desperation kuhusu haka ka maandamano?
Mmefikia mpaka kutunga meseji ya uongo na kuisambaza?
"Makamanda, maandamano ya kesho yameahirishwa kufuatia maombi ya maaskofu. Kamati ya amani imeundwa chini ya viongozi wa dini. , wajulishe makamanda wenzetu!"
View attachment 3103783
Niko kijijini Nkotokwiana, nimeamka najiandaa kwenda shamba kuna palizi ya mihogo inaningoja na kuamia ngedere. Nitakuwa nawacheki polepole kujua mnavyoendelea.Niko Ilala Mtaa wa Arusha, Naanzia kituo cha Boma
Mbowe ajue kabisa kuwa haya maandamano yakifeli basi hata uchaguzi wa serikali za mitaa utafeli vibaya sana .Hivi ndiyo tuseme kweli serikali ndiyo imefikia this level of desperation kuhusu haka ka maandamano?
Mmefikia mpaka kutunga meseji ya uongo na kuisambaza?
"Makamanda, maandamano ya kesho yameahirishwa kufuatia maombi ya maaskofu. Kamati ya amani imeundwa chini ya viongozi wa dini. , wajulishe makamanda wenzetu!"
View attachment 3103783
Asante sana🙏Mbowe ajue kabisa kuwa haya maandamano yakifeli basi hata uchaguzi wa serikali za mitaa utafeli vibaya sana .
Yaliyotokea 2019 na 2020 yatakua ni afadhali maana yalifanywa na Watu wazalendo waliokua hawapendi tu mambo ya siasa siasa.
Lakini pia yale ya 2019 na 2020 yalifanywa na Mtanganyika na Mwafrika Mwenzetu anayejua LUGHA ZETU ZA ASILI NA MILA ZETU ZA KIAFRIKA . Yale ya 2019 na 2020 angalau yalifanywa bila fedha kutoka nje zenye viashiria vya Ubaguzi na ufadhili wa watu waliozoea kuhamasisha ugaidi yaani waarabu wa Dubai wanaohakikisha Wamasai wanafukuzwa Loliondo yote na Ngorongoro yote na baadae kuhamia Simanjiro yote . Wakifanikiwa Wachina watakuja kwa Wagogo kutafuta Uranium.
Sasa Mbowe alishakosea kutoa tamko la Maandamano kwa kutoa kauli ya masihara kuwa Samia Must Go.
Kwanza amewashtua sana hao waliotoa pesa zao kuinunua Tanganyika na ardhi yote yenye madini ,wanyama na misitu .
Waarabu wa Misri na wale wa Falme za Kiarabu walitoa sana pesa kumshughulikia Lowasa kwa hofu ya kufukuzwa Loliondo na kurejesha ardhi kwa Wamasai . Wakafanikiwa .
Pesa ni mwanaharamu.
Kwa mapesa yaliyotolewa na waarabu hakika Mbowe na Chama chake waamue moja kuandamana na Dsm na hata nchi nzima wapigwe vifungu na mabomu na wakomae wiki nzima mchana na usiku ili waone kama hao waarabu watawaletea polisi mafuta ,chakula cha Oparation hiyo na nguo za kubadilisha , mabomu na maji wakati huo huo mwezi wa kumi na moja kampeni zinaanza na uchaguzi.
Maandamano yakianza yatapandisha mzuka mkubwa sana na kusambaa nchi nzima endapo yatapigwa mabomu .
Ni bora mkalatwe kwa maandamano kuliko kukamatwa mkiwa mmetulia kama Bonimayai .
Tayari mpo kwenye kilengeo cha Mafwere na ndiye DCI ajaye baada ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa maana Kingai anaonekana ana huruma hajawachinja chinja kufurahisha Waarabu wasiowathamini Watanganyika wenye vichogo.
Lini Mzanzibari akampenda Mtanganyika mwenye kichogo. Labda afiche kichogo kwa kuvaa kilemba au ushungi .
Mbowe akishinda kufika Kwenye uwanja wa maandamano na kuhamasisha kuandamana ajue huo ndio ushindi wa CCM kutumia dola kwenye chaguzi zote zijazo.
Wanajua dola itawafanya watu waogope kupiga kura na CCM ipite bila kupingwa kwa namna yoyote .
Wanachama na wagombea watatekwa siku moja kabla ya uchaguzi na kupewa pesa nyingi za ugaidi zilizotolewa na waarabu . Atakayekataa kupokea pesa itakula kwake . Na kwa sababu ya nguvu ya dola ni dhahiri kuwa wengi watakubali kupokea pesa na watatoka hadharani na kusema kuwa Wametekwa na Chadema wenyewe na wengine walejiteka .
Hamtapata hata mwenyekiti mmoja wa serikali za mtaa na akipatikana ni eneo ambalo halikutarajiwa .
Kama Mbowe na chama chake hawajajiandaa na maandamano basi ni bora arudi kwenye vyombo vya habari amuombe msamaha Rais na mwenyekiti wa CCM kuwa aliteleza kusema Samia Must go.
Najua hakumaanisha ila ilikua ni katika hali ya kupaniki kama Samia naye alivyopanic. Mwenzake akipaniki ujue ameagiza kifo au kupotea au kesi ya uhaini.
Dr. Martini Luther king aliandamana na mamilioni ya waafrika kupinga ubaguzi wa rangi . Wazungu hawakua na huruma kwa watu weusi kama ilivyo kwa Samia na Watanganyika wasio na asili ya kiarabu lakini walilazimishwa kuachana na ubaguzi kwa nguvu ya maandamano kwenye nchi isiyo ya kwao kwa asili.
sasa Watanganyika tukilemaa wageni na dalali wao watatufanya kuikimbia nchi yetu ya asili wakati wao ndio walipaswa kukimbia.
Sijawahi kuona nchi moja ikitoa marais wawili kwa wakati mmoja ni Zanzibar pekee. Yaani Rais anatoka nchi moja asubuhi kwenda kutawala nchi nyingine na jioni anarudi nchini kwake. 😂😂😂😂😂
Tanganyika ni shamba la bibi .
Haya maandamano yakifeli kitakachofuata ni Mbowe must go na yataratibiwa na UVCCM baada ya kuwateka na kuwalazimisha baadhi ya vijana wa BAVICHA ili watoe tamko hilo ambalo litaungwa mkono na baadhi ya vijana wa Bodaboda na kuandamana ili Mbowe aonekane Kuwa ndani ya chama chake kuna mpasuko na hakubaliki.
Ushauri wangu leo Lisu wamwache sehemu salama .
Afike tu lakini washauriwe kuwa abaki na kupakizwa kwenye gari ili arudishe na kubaki ofisi kuu na kuwekewa ulinzi na kamera ziwe on muda wote.
Hii maandamano yakifanikiwa kufika uwanjani basi Lisu apelekwe na boda boda au bajaji kutoa hutuba .
Hii ni kuepusha Kuumizwa endapo patatokea purukushani na yeye hawezi hata kujihami kidogo. Na itamweousha pia na kuwekwa ndani na kukosa huduma.
Lisu abaki maana ni rais wa Watanganyika anayekuja kuwaondoa kwenye utumwa mpya ulioletwa na Wazanzibar wakishirikiana na waarabu.
Mbowe aandamane mpaka mwisho kujenga uhai wa chama na ujasiri wa kuweza kudhibiti wezi wa kura uchaguzi ujao .
Daktari wa kifo ni kifo tu Samia atatolewa kwa kura 2025 na kurudi Kule kwao Zanzibar na akipenda arudi Omani kwenye asili yake hakuna atalayemsumbua mama Abduli. Tanganyika tuleteeni Majaliwa Mtanganyika Mwenzetu angalau achuane na Lisu Profesa wa siasa na Sheria duniani.
Nimekusoma sana mkuu '1000digits',; lakini huu mstari pekee ndio ulio amsha hisia zaidi ya yote uliyoweka kwenye andiko lako refu.Lisu abaki maana ni rais wa Watanganyika anayekuja kuwaondoa kwenye utumwa mpya ulioletwa na Wazanzibar wakishirikiana na waarabu.
Maandamano yamehairishwaLeo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania. Siku ya maandamano ya wananchi wakiongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama hiko; amefafanua kwamba lengo la maandamano hayo ni kupinga wimbi na matendo mabaya yanayoendelea nchini ya utekaji nyara, kupotea kwa watu na mauajo ya raia. Wananchi wamelinyooshea kidole jeshi la polisi kutokana na mazingira ya upoteaji wa watu. Watu wengi wameripotiwa kupotea baada ya kuitwa vituo vya polisi.
Tupeane updates za picha na matukio yanayojiri kwenye maandamanp haya ya haki.
Tukutane barabarani.
Muda wa kuandika pumba zote unapat wapi? Kama wewe ni mtu wa maandamano ungekuwa barabarani sasa hiviMbowe ajue kabisa kuwa haya maandamano yakifeli basi hata uchaguzi wa serikali za mitaa utafeli vibaya sana .
Yaliyotokea 2019 na 2020 yatakua ni afadhali maana yalifanywa na Watu wazalendo waliokua hawapendi tu mambo ya siasa siasa.
Lakini pia yale ya 2019 na 2020 yalifanywa na Mtanganyika na Mwafrika Mwenzetu anayejua LUGHA ZETU ZA ASILI NA MILA ZETU ZA KIAFRIKA . Yale ya 2019 na 2020 angalau yalifanywa bila fedha kutoka nje zenye viashiria vya Ubaguzi na ufadhili wa watu waliozoea kuhamasisha ugaidi yaani waarabu wa Dubai wanaohakikisha Wamasai wanafukuzwa Loliondo yote na Ngorongoro yote na baadae kuhamia Simanjiro yote . Wakifanikiwa Wachina watakuja kwa Wagogo kutafuta Uranium.
Sasa Mbowe alishakosea kutoa tamko la Maandamano kwa kutoa kauli ya masihara kuwa Samia Must Go.
Kwanza amewashtua sana hao waliotoa pesa zao kuinunua Tanganyika na ardhi yote yenye madini ,wanyama na misitu .
Waarabu wa Misri na wale wa Falme za Kiarabu walitoa sana pesa kumshughulikia Lowasa kwa hofu ya kufukuzwa Loliondo na kurejesha ardhi kwa Wamasai . Wakafanikiwa .
Pesa ni mwanaharamu.
Kwa mapesa yaliyotolewa na waarabu hakika Mbowe na Chama chake waamue moja kuandamana na Dsm na hata nchi nzima wapigwe vifungu na mabomu na wakomae wiki nzima mchana na usiku ili waone kama hao waarabu watawaletea polisi mafuta ,chakula cha Oparation hiyo na nguo za kubadilisha , mabomu na maji wakati huo huo mwezi wa kumi na moja kampeni zinaanza na uchaguzi.
Maandamano yakianza yatapandisha mzuka mkubwa sana na kusambaa nchi nzima endapo yatapigwa mabomu .
Ni bora mkalatwe kwa maandamano kuliko kukamatwa mkiwa mmetulia kama Bonimayai .
Tayari mpo kwenye kilengeo cha Mafwere na ndiye DCI ajaye baada ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa maana Kingai anaonekana ana huruma hajawachinja chinja kufurahisha Waarabu wasiowathamini Watanganyika wenye vichogo.
Lini Mzanzibari akampenda Mtanganyika mwenye kichogo. Labda afiche kichogo kwa kuvaa kilemba au ushungi .
Mbowe akishinda kufika Kwenye uwanja wa maandamano na kuhamasisha kuandamana ajue huo ndio ushindi wa CCM kutumia dola kwenye chaguzi zote zijazo.
Wanajua dola itawafanya watu waogope kupiga kura na CCM ipite bila kupingwa kwa namna yoyote .
Wanachama na wagombea watatekwa siku moja kabla ya uchaguzi na kupewa pesa nyingi za ugaidi zilizotolewa na waarabu . Atakayekataa kupokea pesa itakula kwake . Na kwa sababu ya nguvu ya dola ni dhahiri kuwa wengi watakubali kupokea pesa na watatoka hadharani na kusema kuwa Wametekwa na Chadema wenyewe na wengine walejiteka .
Hamtapata hata mwenyekiti mmoja wa serikali za mtaa na akipatikana ni eneo ambalo halikutarajiwa .
Kama Mbowe na chama chake hawajajiandaa na maandamano basi ni bora arudi kwenye vyombo vya habari amuombe msamaha Rais na mwenyekiti wa CCM kuwa aliteleza kusema Samia Must go.
Najua hakumaanisha ila ilikua ni katika hali ya kupaniki kama Samia naye alivyopanic. Mwenzake akipaniki ujue ameagiza kifo au kupotea au kesi ya uhaini.
Dr. Martini Luther king aliandamana na mamilioni ya waafrika kupinga ubaguzi wa rangi . Wazungu hawakua na huruma kwa watu weusi kama ilivyo kwa Samia na Watanganyika wasio na asili ya kiarabu lakini walilazimishwa kuachana na ubaguzi kwa nguvu ya maandamano kwenye nchi isiyo ya kwao kwa asili.
sasa Watanganyika tukilemaa wageni na dalali wao watatufanya kuikimbia nchi yetu ya asili wakati wao ndio walipaswa kukimbia.
Sijawahi kuona nchi moja ikitoa marais wawili kwa wakati mmoja ni Zanzibar pekee. Yaani Rais anatoka nchi moja asubuhi kwenda kutawala nchi nyingine na jioni anarudi nchini kwake. 😂😂😂😂😂
Tanganyika ni shamba la bibi .
Haya maandamano yakifeli kitakachofuata ni Mbowe must go na yataratibiwa na UVCCM baada ya kuwateka na kuwalazimisha baadhi ya vijana wa BAVICHA ili watoe tamko hilo ambalo litaungwa mkono na baadhi ya vijana wa Bodaboda na kuandamana ili Mbowe aonekane Kuwa ndani ya chama chake kuna mpasuko na hakubaliki.
Ushauri wangu leo Lisu wamwache sehemu salama .
Afike tu lakini washauriwe kuwa abaki na kupakizwa kwenye gari ili arudishe na kubaki ofisi kuu na kuwekewa ulinzi na kamera ziwe on muda wote.
Hii maandamano yakifanikiwa kufika uwanjani basi Lisu apelekwe na boda boda au bajaji kutoa hutuba .
Hii ni kuepusha Kuumizwa endapo patatokea purukushani na yeye hawezi hata kujihami kidogo. Na itamweousha pia na kuwekwa ndani na kukosa huduma.
Lisu abaki maana ni rais wa Watanganyika anayekuja kuwaondoa kwenye utumwa mpya ulioletwa na Wazanzibar wakishirikiana na waarabu.
Mbowe aandamane mpaka mwisho kujenga uhai wa chama na ujasiri wa kuweza kudhibiti wezi wa kura uchaguzi ujao .
Daktari wa kifo ni kifo tu Samia atatolewa kwa kura 2025 na kurudi Kule kwao Zanzibar na akipenda arudi Omani kwenye asili yake hakuna atalayemsumbua mama Abduli. Tanganyika tuleteeni Majaliwa Mtanganyika Mwenzetu angalau achuane na Lisu Profesa wa siasa na Sheria duniani.