Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi hilo zaga la airtel ni unlimited??Wakuu kwema? Leo niko off, wiki iliyopita nimenunua router ya airtel ile ya 30Mbps. Nahitaji kujua channel itakayorusha maandamano live ili nifuatilie mojakwamoja nikiwa nyumbani kwangu Makongo Juu.
Asanteni kwa kujali. Tuko pamoja.
Una roho mbaya sana mkuu🤣🤣🤣...nimecheka kama mazuri vile....labda tuwe laivu kwny chadema digital kina Erythrocytes watakuwa wanaturushia live tunaona wanavyoandamanaTv gan wanarusha live nione mnavokula bakora
Wewe unawashwa sio bure,Nipo 24/7 kusubiri matusi ya misukule ya Mbowe
Pamoja✊Yes mkuu 30Mbps, 110k kwa mwezi.
mbona media hawajaipost
FAKE FAKE FAKE
Mtasubiri sana chagadomoUtawala wa sheria sio Hisani ya ccm wala Samia, ni haki yetu. Wenye nchi ni wananchi . Tunataka nchi yetu ,tunataka uhuru wa kweli. .
chama cha wachagga,chagadema ndio kitetee haki za watanzania? kajambeni huko mbeleLeo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania. Siku ya maandamano ya wananchi wakiongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama hiko; amefafanua kwamba lengo la maandamano hayo ni kupinga wimbi na matendo mabaya yanayoendelea nchini ya utekaji nyara, kupotea kwa watu na mauajo ya raia. Wananchi wamelinyooshea kidole jeshi la polisi kutokana na mazingira ya upoteaji wa watu. Watu wengi wameripotiwa kupotea baada ya kuitwa vituo vya polisi.
Tupeane updates za picha na matukio yanayojiri kwenye maandamanp haya ya haki.
Tukutane barabarani.
Sasa atapiga picha kama hayuko eneo la tukio? Mama ameamua kuiga uhayawani wa Magufuli, haujui kuwa magufuli alikuwa shetani toka tumboni kwa mama yake. Ngoja tuone mwisho wake.Picha za nini? Kama wewe ni muandamaji ingia barabarani tu, siyo kuchochea wenzio tu
Loh nini,wewe unaijua chaggadema? unajua haonwachagga wanataka nini?
Mheshimiwa Nakushukuru sana, for hosting us last month hapo Butiama.0652079561