Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uhuru wa Tanzania ulipatikana kwa kudai kwa maneno na sio vita ..... amesikika shabiki mmoja kindakindaki akisema
 
Niki join dot 2019 - 2020 na sasa 2024 ninaona ni kama vile kuna mpambano wa chini kwa chini baina ya Mwanafunzi v/s Mwalimu.
Kipindi kile Mwalimu na Delilah walikuwa wakiwatumia sana Wapinzani, Evalisti Chahali, Kigogo Kigogo, Mange Kimambi page na wanaharakati fulani fulani kumpiga vita Uncle na mwisho wa siku Mwalimu na Delilah wakaibuka washindi,

Na sasa naona kama vile vita ya Mwanafunzi na Mwalimu, nani kuibua mshindi???
Je baada ya maandamano kufeli au kufanyika, Mwalimu atakuja na mbinu ipi nyingine kupambana na mwanafunzi wake?
Born to Town v/s Mkojani Fc
 
maand1.jpeg
 
Leo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania. Siku ya maandamano ya wananchi wakiongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama hiko; amefafanua kwamba lengo la maandamano hayo ni kupinga wimbi na matendo mabaya yanayoendelea nchini ya utekaji nyara, kupotea kwa watu na mauajo ya raia. Wananchi wamelinyooshea kidole jeshi la polisi kutokana na mazingira ya upoteaji wa watu. Watu wengi wameripotiwa kupotea baada ya kuitwa vituo vya polisi.

Tupeane updates za picha na matukio yanayojiri kwenye maandamanp haya ya haki.

Tukutane barabarani.
Barbara ipi, na je tunaaza kunywa Supu au wali maharage?
 
Back
Top Bottom