Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Picha za nini? Kama wewe ni muandamaji ingia barabarani tu, siyo kuchochea wenzio tuWanangu wa Daslam mtupe updates sisi wa huku vijijini,
Picha pia ni muhimu sana,
Take care of yourself.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha za nini? Kama wewe ni muandamaji ingia barabarani tu, siyo kuchochea wenzio tuWanangu wa Daslam mtupe updates sisi wa huku vijijini,
Picha pia ni muhimu sana,
Take care of yourself.
Umesoma comment yangu na kuielewa lakini?Picha za nini? Kama wewe ni muandamaji ingia barabarani tu, siyo kuchochea wenzio tu
Untaka kuandamana kwa picha ukiwa kijiji gani wewe kiroboto?Umesoma comment yangu na kuielewa lakini?
Halafu wapi nimechochea watu?
Maandamano yapo Dar,nimeomba picha kwa sisi tuliopo vijijini,
Uwe unasoma na kuelewa bila mihemko.
Nimeshakuambia mimi siyo CHADEMA. Mimi ni CCM nalipia ada zangu zote mpaka za jumuiya .Hakuna kiroboto wala paka wa CHADEMA hata mmoja kaingia barabarani mpaka sasa. Hata Erythrocyte na Msanii tunao humu wanaandamana kwa kuandika tu
Nakubaliana na msimamo wako, ila nakushauri uingie barabarani, siyo kuandamana JF pekeeNimeshakuambia mimi siyo CHADEMA. Mimi ni CCM nalipia ada zangu zote mpaka za jumuiya .
Ninasimama kuhesabiwa kupinga utekaji na mauaji ya raia. Kila mtu ana haki ya kuishi na serikali inapaswa kuwawajibisha watendaji wote wssiotimiza wajibu wao kwenye hili.
Tukutane Mnazi Mmoja
Kiroboto mamako,Untaka kuandamana kwa picha ukiwa kijiji gani wewe kiroboto?
Danganya wengineNimeshakuambia mimi siyo CHADEMA. Mimi ni CCM nalipia ada zangu zote mpaka za jumuiya .
Ninasimama kuhesabiwa kupinga utekaji na mauaji ya raia. Kila mtu ana haki ya kuishi na serikali inapaswa kuwawajibisha watendaji wote wssiotimiza wajibu wao kwenye hili.
Tukutane Mnazi Mmoja
Ndio chama kinatoa taarifa hivyo kwa group message?Hivi ndiyo tuseme kweli serikali ndiyo imefikia this level of desperation kuhusu haka ka maandamano?
Mmefikia mpaka kutunga meseji ya uongo na kuisambaza?
"Makamanda, maandamano ya kesho yameahirishwa kufuatia maombi ya maaskofu. Kamati ya amani imeundwa chini ya viongozi wa dini. , wajulishe makamanda wenzetu!"
View attachment 3103783
Wamkoani ndo mmebebwa kwenye mafuso mje Muandamane DarSawa daslaam sisi Mikoani tuko kwenye mambo ya msingi
Nipo 24/7 kusubiri matusi ya misukule ya MboweKiroboto mamako,
Naona unawashwa,utakipata unachokitaka mpaka utajuta,
Naomba tu usikimbie hapa.