Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watalala wapi ambako Intel ya polisi isijue?

View: https://www.instagram.com/p/DAQBOXeq3MX/?igsh=MWJsenUxdHhnMXFqNg==
 
Wangekuwa na akili wangezuia matukio ya kihalifu yaliyosababisha maandamano. Kusingekuwa na maandamano na raia wangefanya mambo yako kwa amani na utulivu.
Lakini kama ujuavyo, huku nguvu ni 99.9% na 0.1% ni akili.
Akili ni kama mimba. Kama una mimba, una mimba, kama hauna mimba hauna.

Hamna MTU mwenye akili kidogo au mwenye akili nyingi.

Ni eidha una akili au hauna akili
 
Inategemea huo ujasiri unampigania nani
 
 

Attachments

  • 20240922_155031.jpg
    99.9 KB · Views: 1
Inategemea huo ujasiri unampigania nani
🀣
Acha blah blah blah au visingizio


Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga sana 🀣



Na wewe ninakusoma sana, ni muoga sana 🀣. Unasifiasifia kutokana na uoga. Hali ni ngumu mtaani unaiona na unaishi kwenye hali ngumu na njaa. Ila kwa kuwa unapokea buku 7 na una matumaini ya uteuzi ndio maana unasifiasifia ila hata wewe ni Muoga tu 🀣




Mimi ni Muoga, wewe je?
 
Mbona polisi wamekuwa wengi kuliko waandamanaji. Polisi wangekuwa wengi hivi kila siku hakuna mtu angetekwa wala panya road angekatiza mtaani
 
Ndege wafananao huruka pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…