Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani lengo la Chadema kutangaza maandamano ilikuwa ni Polisi kukusanyika Dar? Chadema walisema ije mvua, lije jua wataandama. Sasa sababu za eti Polisi wamekusanyika zinatoka wapi?
 
hii imenivunja mbavu 🀣🀣

aisee wacha niendelee kucheza na maiti za waarabu. tz nitarudi nguvu imeisha uzeeni.
 
Mimi ni muoga kupambania Mbowe na Lisu ila jambo langu ni jasiri na utapiga uue
 
naona mtu mwenye kapelo nyeusi kavaa jezi ya Man U, bilashaka ndio wewe gentleman , nakuja hapo hapo hapo kukujoin tuone uelekeo wa pamoja,
au walitangaza kuandamana n moja moja kila mtu kivyake na sio matita matita au makundi makundi?πŸ’
Siwezi vaa jezi ya man u hata kwa kulipwa
 
🀣🀣🀣🀣🀣
Hakuna cha kuupiga mwingi wala nini!

Tuseme ukweli tu 🀣

Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga.



Mimi ni Muoga, wewe je?
 
Heee Mbowe si ndio kiongozi ? Na ndie mla asali wa hii SACCOS?
Hakuna cha Saccos wala nini, hali ngumu ya maisha inamtesa kila mtu, hata wewe hali halisi unaiona


Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga.



Mimi ni Muoga, wewe je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…