Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ipo hivi, CHADEMA walitangaza maandamano wakakaa kimya na kuendelea na shughuli zao za kila siku. Lakini tangu siku ile ya kutangazwa maandamano Polisi wamekuwa wakizunguka huku na kule mitaa yote ya Dar es salaam na hata Mikoa mingine.
Wamebeba silaha nzito nzito, mbwa, magari ya washawasha nk. Baadhi ya polisi yawezekana wametoka mikoa mingine.
Ebu tujiulize kidogo;
*Katika mkasa huu, nani mwoga zaidi?
*Nani ametumia gharama kubwa zaidi?
*Nani amedharaulika zaidi?
*Kimataifa nani amajijenga zaidi na nani amedharaulika zaidi?
*Kwa tathmini ya haraka, CHADEMA wana akili zaidi na wamejijenga zaidi kuliko watesi wao.
Kwani lengo la Chadema kutangaza maandamano ilikuwa ni Polisi kukusanyika Dar? Chadema walisema ije mvua, lije jua wataandama. Sasa sababu za eti Polisi wamekusanyika zinatoka wapi?
 
🤣
Acha blah blah blah au visingizio


Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga sana 🤣



Na wewe ninakusoma sana, ni muoga sana 🤣. Unasifiasifia kutokana na uoga. Halia ngumu mtaani unaiona na unaishi kwenye hali ngumu na njaa. Ila kwa kuwa unapokea buku 7 na una matumaini ya uteuzi ndio maana unasifiasifia ila hata wewe ni Muoga tu 🤣




Mimi ni Muoga, wewe je?
hii imenivunja mbavu 🤣🤣

aisee wacha niendelee kucheza na maiti za waarabu. tz nitarudi nguvu imeisha uzeeni.
 
🤣
Acha blah blah blah au visingizio


Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga sana 🤣



Na wewe ninakusoma sana, ni muoga sana 🤣. Unasifiasifia kutokana na uoga. Halia ngumu mtaani unaiona na unaishi kwenye hali ngumu na njaa. Ila kwa kuwa unapokea buku 7 na una matumaini ya uteuzi ndio maana unasifiasifia ila hata wewe ni Muoga tu 🤣




Mimi ni Muoga, wewe je?
Mimi ni muoga kupambania Mbowe na Lisu ila jambo langu ni jasiri na utapiga uue
 
naona mtu mwenye kapelo nyeusi kavaa jezi ya Man U, bilashaka ndio wewe gentleman , nakuja hapo hapo hapo kukujoin tuone uelekeo wa pamoja,
au walitangaza kuandamana n moja moja kila mtu kivyake na sio matita matita au makundi makundi?🐒
Siwezi vaa jezi ya man u hata kwa kulipwa
 
Chadema walisema wamefanya maridhiano na Samia, leo Kiko wapi?
Wote hao waliungana kumtukana na kumkashifu marehemu eti alikuwa katili anauwa watu.
Ajabu leo Magufuli hayupo watu wanazidi kuuwawa na kupotea kuliko hata utawala wa mwenda zake.
Mama anaupiga mwingi!
🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna cha kuupiga mwingi wala nini!

Tuseme ukweli tu 🤣

Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga.



Mimi ni Muoga, wewe je?
 
Heee Mbowe si ndio kiongozi ? Na ndie mla asali wa hii SACCOS?
Hakuna cha Saccos wala nini, hali ngumu ya maisha inamtesa kila mtu, hata wewe hali halisi unaiona


Sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga.



Mimi ni Muoga, wewe je?
 
Back
Top Bottom