Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hahaha.....wajulishe makamanda wenzetu😂😂😂
 
😂😂😂🙌
 
Hiihihiii
 
Nilikuwa nakutafuta muda wote kumbe umekuja kujificha huku? Kwanini hujaandamana? Si ulisema utaandamana? Kwanini hujapeleka pua lako barabarani ili ufundishwe adabu na kutii sheria bila shuruti?
 
🤣 nyoosha maelezo, acha blah blah blah, sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga sana 🤣


Mimi ni Muoga sana, wewe je?
Uoga wenye faida, kwanini ukavunjwe mguu wakati wahisani pesa yote wanampatia Mbowe halafu anakula yeye na familia yake na wewe ukiwa hoi kitandani pale MOI hakupi hata senti tano ya matibabu?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…