Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ipo hivi, CHADEMA walitangaza maandamano wakakaa kimya na kuendelea na shughuli zao za kila siku. Lakini tangu siku ile ya kutangazwa maandamano Polisi wamekuwa wakizunguka huku na kule mitaa yote ya Dar es salaam na hata Mikoa mingine.
Wamebeba silaha nzito nzito, mbwa, magari ya washawasha nk. Baadhi ya polisi yawezekana wametoka mikoa mingine.
Ebu tujiulize kidogo;
*Katika mkasa huu, nani mwoga zaidi?
*Nani ametumia gharama kubwa zaidi?
*Nani amedharaulika zaidi?
*Kimataifa nani amajijenga zaidi na nani amedharaulika zaidi?
*Kwa tathmini ya haraka, CHADEMA wana akili zaidi na wamejijenga zaidi kuliko watesi wao.
MANENO YA WAU WALIOKATA TAMAAAA CHADEMA AKA MBOWE SACCOS MMEFELI PAKUBWA SANA HAMUWEZI KUSHINDANA NA DOLA YAAANI MMELEGEA NDIYO MAANA MANGE HUWAGA ANAWAITA WOTE NI MADEMU HAMUWEZI KAZI
 
Jeshil letu pendwa la Polisi limeandamana kwa niaba yetu tena kwa gharama za serikali au hujawaona wewe? Akili kubwa sana imetumika ila kwa mwenye akili kisoda kama wewe huwezi kuelewa. We are ahead of CCM always.
Embu acha ujinga wako hapa.nenda kaandamane haraka sana ili upunguzwe urefu wa miguu yako.
 
Jeshil letu pendwa la Polisi limeandamana kwa niaba yetu tena kwa gharama za serikali au hujawaona wewe? Akili kubwa sana imetumika ila kwa mwenye akili kisoda kama wewe huwezi kuelewa. We are ahead of CCM always.
HAHAHAA MUMEUFYATA MPAKA AIBU MACHADEMA
 
Embu acha ujinga wako hapa.nenda kaandamane haraka sana ili upunguzwe urefu wa miguu yako.
Polisi wameshaifanya kazi tuliyowatuma kwa ufanisi mkubwa sana, hapa nipo nakula kitimoto nashushia na John Walker yangu karibu tufurahie maisha, nipe namba nikupe location.
 
Niko hapa morocco darajani, hujaona nimevaa shati jekundu lenye nembo ya M4C?
nakuona hapo juu ya daraja kwenye bango kubwa la picha ya Rais Samia akiwa na BAWACHA, halafu na wewe umetokezea vizuri hapo na huo mtisheti wako wa4C🤣

au umeshapiga picha tayari?

shuka huku chini basi, maandamno ni chini babu japo hakuna, njoo hapa jamaa wanakochoma mihogo na juice ya miwa hapa. Gari nimepaki Airtel 🐒
 
Back
Top Bottom