Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Magufuli alisingiziwa mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MANENO YA WAU WALIOKATA TAMAAAA CHADEMA AKA MBOWE SACCOS MMEFELI PAKUBWA SANA HAMUWEZI KUSHINDANA NA DOLA YAAANI MMELEGEA NDIYO MAANA MANGE HUWAGA ANAWAITA WOTE NI MADEMU HAMUWEZI KAZIIpo hivi, CHADEMA walitangaza maandamano wakakaa kimya na kuendelea na shughuli zao za kila siku. Lakini tangu siku ile ya kutangazwa maandamano Polisi wamekuwa wakizunguka huku na kule mitaa yote ya Dar es salaam na hata Mikoa mingine.
Wamebeba silaha nzito nzito, mbwa, magari ya washawasha nk. Baadhi ya polisi yawezekana wametoka mikoa mingine.
Ebu tujiulize kidogo;
*Katika mkasa huu, nani mwoga zaidi?
*Nani ametumia gharama kubwa zaidi?
*Nani amedharaulika zaidi?
*Kimataifa nani amajijenga zaidi na nani amedharaulika zaidi?
*Kwa tathmini ya haraka, CHADEMA wana akili zaidi na wamejijenga zaidi kuliko watesi wao.
Joined Septemba 16 2024Bingwa wa kutype nyuma ya keyboard,sativa Kenya,lema kasafirisha mkewe akagongwe nje ya nchi,
Embu acha ujinga wako hapa.nenda kaandamane haraka sana ili upunguzwe urefu wa miguu yako.Jeshil letu pendwa la Polisi limeandamana kwa niaba yetu tena kwa gharama za serikali au hujawaona wewe? Akili kubwa sana imetumika ila kwa mwenye akili kisoda kama wewe huwezi kuelewa. We are ahead of CCM always.
Mama anaupiga mwingi!
Tunapumua baada ya kuonewa sana
Achana na makondaa mkuuuBadboy for life. Aka Diddy huyu
WAMEUFYATA MKIA WAPO NYUMA YA KEYBOARD WANAANDIKAMakamanda mbona siwaoni
piki piki zimekula mkwalaKuna raia wa chadema kafa ? Au ni wanakwata wametangulia mbele ya haki ?
HAHAHAA MUMEUFYATA MPAKA AIBU MACHADEMAJeshil letu pendwa la Polisi limeandamana kwa niaba yetu tena kwa gharama za serikali au hujawaona wewe? Akili kubwa sana imetumika ila kwa mwenye akili kisoda kama wewe huwezi kuelewa. We are ahead of CCM always.
Polisi wameshaifanya kazi tuliyowatuma kwa ufanisi mkubwa sana, hapa nipo nakula kitimoto nashushia na John Walker yangu karibu tufurahie maisha, nipe namba nikupe location.Embu acha ujinga wako hapa.nenda kaandamane haraka sana ili upunguzwe urefu wa miguu yako.
Hao ni informerpiki piki zimekula mkwala
WAOGA HKAMA PANYAWaandamanaji walioko mtandaoni hasa jf ni wengi kuliko wa live barabarani
Polisi wameifanya kazi yetu kwa ufanisi mkubwa tena kwa gharama za serikali.HAHAHAA MUMEUFYATA MPAKA AIBU MACHADEMA
nakuona hapo juu ya daraja kwenye bango kubwa la picha ya Rais Samia akiwa na BAWACHA, halafu na wewe umetokezea vizuri hapo na huo mtisheti wako wa4C🤣Niko hapa morocco darajani, hujaona nimevaa shati jekundu lenye nembo ya M4C?
Ungeenda uandamane tukufundishe kutii sheria bila shuruti na kukushikisha adabu.Polisi wameshaifanya kazi tuliyowatuma kwa ufanisi mkubwa sana, hapa nipo nakula kitimoto nashushia na John Walker yangu karibu tufurahie maisha, nipe namba nikupe location.
Nawwe ni mojawapo wa yale mabumunda yaliyokosa kazi yakajiunga kozi ya mimba CCP.Ahahahahaha! Kama wewe ni mmoja wa waandamanaji basi naionea huruma sana Chadema!