Mkuu, mko wap nijiunge nanyi kwenye maandamano?Kama cdm imekufa, na polisi wana sura ya uchovu wa usingizi hadi muda huu, sijui ingekuwa hai ingekuwaje. Hiyo ni ishara kuwa uhai wa ccm ni vyombo vya dola tu.
Huu wingi hajakodisha kweli?Kama cdm imekufa, na polisi wana sura ya uchovu wa usingizi hadi muda huu, sijui ingekuwa hai ingekuwaje. Hiyo ni ishara kuwa uhai wa ccm ni vyombo vya dola tu.
Duh.Griiiii
Yes,JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Daah ni wengi sana ila mpaka leo wasiojulikana bado hawajawajuaIla Chadema ni next level kwa kweli, wamewapigisha kwata hawa manjagu kwa wiki nzima sasa na kuufikisha ujumbe wao kwa gharama za serikali yenyewe, akili kubwa ni akili kubwa tu .
Sio ilimtafuna mwenyewe?Laana ya Magufuli inawatafuna
Samia sasa amejua n kwann JPM aliwabana chademaYes,
JPM alikaza sana licha ya kusingiziwa kila lililo baya, na kwakweli hata Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, tunampa moyo sana akaze vizuri, na abane vizuri zaidi hapohapo aliposhikilia,
Ili umoja,amani na utulivu wa waTanzania wote viendelee kudumu kila pembe na kila kona ya Taifa letu...
Haya ya ukweli wanayoyasema sasa kuhusu JPM, bilashaka yoyote haya mazuri zaidi unayoyafanya kwajili yao, watayasema ukiwa umestaafu π
Hahahaaa....ilishakufa haipoCHADEMA imekufa, huu ni uhalisia. Sio CHADEMA tu, ni upinzani umekufa. Tanzania bara hakuna upinzani.
Sema uzezeta na uchawa was kitaifa.Ili umoja,amani na utulivu wa waTanzania wote viendelee kudumu kila pembe na kila kona ya Taifa letu...
Visingizio gani sasa?Acha visingizio, we sema tu ni Muoga π€£
Mimi ni Muoga sana, wewe je?
Ukweli mchungu kwa wafuasi wa CHADEMA waliopo mtandaoni.Hahahaaa....ilishakufa haipo
Haters.....Ukweli mchungu kwa wafuasi wa CHADEMA waliopo mtandaoni.
Sifahamu but Samia must go was very wrong πSamia sasa amejua n kwann JPM aliwabana chadema
Wewe hata huelewi, unaongea kitu naona hutaki ubongo wako uongeze pale ulipokomea kuelewa. Umeandika nini na mimi nimeandika nini ili tuanze kubishana kwa hoja moja.Nani yupo tayari kupokea kipigo cha mbwa Koko, kufungwa, kuvunjwa, kufa?
Acha blah blah blah, tuseme ukweli tu kuwa sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga sana π€£
Mimi ni Muoga sana, wewe je?
Relax gentleman π€£Sema uzezeta na uchawa was kitaifa.
Mkuu mbona kama unachiki binafsi na wachaggaa wamekulia mkeeHakuna mtu mwenye akili ataandamana kisa Wachaga.
π€£Wewe hata huelewi, unaongea kitu naona hutaki ubongo wako uongeze pale ulipokomea kuelewa. Umeandika nini na mimi nimeandika nini ili tuanze kubishana kwa hoja moja.