Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Yes,
JPM alikaza sana licha ya kusingiziwa kila lililo baya, na kwakweli hata Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, tunampa moyo sana akaze vizuri, na abane vizuri zaidi hapohapo aliposhikilia,

Ili umoja,amani na utulivu wa waTanzania wote viendelee kudumu kila pembe na kila kona ya Taifa letu...

Haya ya ukweli wanayoyasema sasa kuhusu JPM, bilashaka yoyote pia haya mazuri zaidi unayoyafanya wewe Dr.Samia kwajili waTanzania wote watayasema ukiwa umestaafu. Binadamu ndivyo tulivyo 🐒
 
tapatalk_1714657484643.jpeg
 
Yes,
JPM alikaza sana licha ya kusingiziwa kila lililo baya, na kwakweli hata Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, tunampa moyo sana akaze vizuri, na abane vizuri zaidi hapohapo aliposhikilia,

Ili umoja,amani na utulivu wa waTanzania wote viendelee kudumu kila pembe na kila kona ya Taifa letu...

Haya ya ukweli wanayoyasema sasa kuhusu JPM, bilashaka yoyote haya mazuri zaidi unayoyafanya kwajili yao, watayasema ukiwa umestaafu 🐒
Samia sasa amejua n kwann JPM aliwabana chadema
 
Nani yupo tayari kupokea kipigo cha mbwa Koko, kufungwa, kuvunjwa, kufa?

Acha blah blah blah, tuseme ukweli tu kuwa sisi watanzania ni waoga mno, hata mimi ni muoga sana 🤣



Mimi ni Muoga sana, wewe je?
Wewe hata huelewi, unaongea kitu naona hutaki ubongo wako uongeze pale ulipokomea kuelewa. Umeandika nini na mimi nimeandika nini ili tuanze kubishana kwa hoja moja.
 
Back
Top Bottom