Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Najiuliza
 

Attachments

  • Screenshot_20240923-164101.jpg
    562.2 KB · Views: 1
Nimeona Aljazeera wametangaza polisi kukamata wapinzani kwasababu wanaandamana kupinga utekaji na mauwaji Tanzania.
 
Kama wameshindwa kuteketeza wale wa TUMA KWENYE NAMBA HII, ILE NYINGINE IMEZIMA CHARGE",

Huko kwingine wataweza kweli 🤔🤔,
 
Sasa mtaandamana kivipi tena, huku matumbo yenu yakiwa yanakaribia kuvimbiwa kutokana na unyonyaji mnaowafanyia Watanganyika!!
 
Makonda bhana kweli walivyomuita bashite hawakukosea asa mtu mkuu wa mkoa unaonge ushubwada afu unayemtaja yuko Dar es salaam Pathetic hv hawa wakuu wa mikoa vetting zao zikone au vetting zao ukishajua kuua ,kujibu watu hovyo na kutafta huruma kwa mapadre ndo unakua umefaulu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…