Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni Mara nyingine ya 'legacy' ya awamu tano imesaidia kuzima maandaano ya CHADEMA yaliyopangwa kufanyika siku ya leo.

Hapa naizungumzia ile legacy ya kupiga marufuku pombe Kali aina ya viroba ambayo iliwafanya watumiaji wa pombe ambao wengi wao ni vijana kuwa watukutu pindi wanapotumia.

Miaka Sasa bila uwepo was viroba mitaani na faida nyingi zimeonekana na zinaonekana na mojawapo ni ya kuzimika kwa maandaano siku ya leo.

Laiti Kama kusingekuwa na marufuku wa viroba Leo vijana hao wangekuwa maandamanoni lakini kutokana na marufuku hiyo vijana wamepotezea maandama hayo kwa kushiriki katika shughuli zao za kiuchumi za kila siku.

Ni mtazamo wa mlinda na mtetea 'legasi'
 
Kwa hi
Hata Mzee Ally Kibao alikuwa mchaga wa machame

Ni upambavu kushabikia ukabila kwenye Karne ya 21
Kwa hiyo mimi ndi nampa maelekezo Mrema afanye kazi za katibu mkuu wa chama wakati katibu mkuu yupo? Wewe unaona ni sawa? Leo hii Lema ni msmaji wa chama kuliko hata makamu Mwenyekiti wa Chama .Kama si ukabila ni nini?
 
..subiri wakati wa uchaguzi Mkuu mtalia na kusaga meno.

..utaratibu wa kura ya siku 2 unawasubiri.
 
Doh!

Sjui ni nini sasa hapa hata sielewi, mbona wanywa bia na gongo hawajaandamana
 
Polisi wameandamana kwa niaba yetu tena kwa ufanisi mkubwa sana. Leo ndiyo wameonyesha udikteta wa Samia live bila chenga.
 
Mbona wanakunywa double kik,visungura,vishetani tena vijana,watoto walevi wameongezeka

Ova
 
Ni Mara nyingine ya 'legacy' ya awamu tano imesaidia kuzima maandaano ya CHADEMA yaliyopangwa kufanyika siku ya leo.

Hapa naizungumzia ile legacy ya kupiga marufuku pombe Kali aina ya viroba ambayo iliwafanya watumiaji wa pombe ambao wengi wao ni vijana kuwa watukutu pindi wanapotumia.

Miaka Sasa bila uwepo was viroba mitaani na faida nyingi zimeonekana na zinaonekana na mojawapo ni ya kuzimika kwa maandaano siku ya leo.

Laiti Kama kusingekuwa na marufuku wa viroba Leo vijana hao wangekuwa maandamanoni lakini kutokana na marufuku hiyo vijana wamepotezea maandama hayo kwa kushiriki katika shughuli zao za kiuchumi za kila siku.

Ni mtazamo wa mlinda na mtetea 'legasi'
Wazazi wako walikosea sana kukuleta duniani! Fisi wewe!
 
Back
Top Bottom