Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Linapokuja swala la kuandamana nchi hii inawaandamanaji maalum, ni swala la kuwa-switch tu muwaamrishe waandamane nchi nzima, mkoa mmoja au wilaya moja! Hawajawahi kushindwa hao. Hujaona leo walivyoandamana kwa magari, wengine kwa miguu na wengine wakiwa na mbwa tena wakiwa na sare zao safiii kabisa. Wako smart!
Yaani ulivyoandika hadi unatia huruma!
 
Juzi juzi tu hapo Bangladesh juhudi za wananchi zilimwondoa waziri mkuu madarakani bila ya ushiriki wa jeshi (nadhani); ingawaje huenda waliamua tu kukaa pembeni.
Duniani kote nchi za kidemokrasia zinazoongozwa na raia, jeshi kamwe halishiki kuua raia. Hata hapo Uganda hua Jeshi halitumii risasi kuua raia . Polisi ndio wanaozuia maandamano na wakishindwa basi jeshi kinaingilia kati kunusuru mauaji makubwa sana polisi wakishindwa wanageuziwa kibao kupigwa na kujeruhiwa na wengine kuuawa na waandamanaji.

Hata Tanzania JWTZ hua wanafagia tu lakini kamwe hawawezi kushika silaha na kuua wananchi. Jeshi la hovyo kama kule Kongo,Rwanda ,Burundi n.k walipowapiga wananchi na kuwaua ndipo uasi ulipotokea na mauaji ya halaiki ambapo serikali inapinduliwa maana wananchi wanaweza wakaungana na Brigade moja tu na kuisapoti kupambana na jeshi la serikali mpaka nchi ikagawanyika au kupinduliwa.
 
Duniani kote nchi za kidemokrasia zinazoongozwa na raia, jeshi kamwe halishiki kuua raia. Hata hapo Uganda hua Jeshi halitumii risasi kuua raia . Polisi ndio wanaozuia maandamano na wakishindwa basi jeshi kinaingilia kati kunusuru mauaji makubwa sana polisi wakishindwa wanageuziwa kibao kupigwa na kujeruhiwa na wengine kuuawa na waandamanaji.

Hata Tanzania JWTZ hua wanafagia tu lakini kamwe hawawezi kushika silaha na kuua wananchi. Jeshi la hovyo kama kule Kongo,Rwanda ,Burundi n.k walipowapiga wananchi na kuwaua ndipo uasi ulipotokea na mauaji ya halaiki ambapo serikali inapinduliwa maana wananchi wanaweza wakaungana na Brigade moja tu na kuisapoti kupambana na jeshi la serikali mpaka nchi ikagawanyika au kupinduliwa.
Mkuu, sina hamu na hizi dhana au nadharia. Sijui mwanzo wake na wala mwisho wake kuhusu uhusika huo unao uelezea wewe.
Itoshe tu kusema kuwa sidhani kuna kanuni maalumu inayo fuatwa kila mahala kuhusu ushiriki wa vyombo hivyo.
 
CHADEMA ni chamha WACHAGA na hakitakaa kishinde Nchi hii.
Bora kutawaliwa na Wachaga kuliko kutawaliwa na Waarabu kutoka Oman.
Wachaga tunachangamana nao.Wanawake wengi wa kichaga wameolewa na lakabila na dini tofauti laknini sio wale wa kutoka Omani ambao mwanamke wa kule kuolewa na mtu mwenye kichogo ni haramu . Hapana . Ni wauaji na wabinafsi sana.

Wabaki huko kwao. Kwanza nchi moja haiwezi kutoa marais wawili kwa wakati mmoja . Huo ni ukoloni na ndio maana hawana huruma na watanganyika . Wamepora sana mali za Tanganyika bila huruma na kujilimbikizia sana mali wakiwa madarakani . Wana tabia ubinafsi na kurithisha watoto wao madaraka kwa kuwaua wengine wanaopata umaarufu. Hao waarabu walimuua Karume aliyeipenda sana na kuijenga Zanzibar . Kama walimuua mtu aliyewatoa kwenye utumwa na unyonge wataluacha nani kuishi mbele ya tamaa zao. Wachaga ni wastaarabu na waleumizwa sana na siasa za CCM lakini hawajawahi kuuana au kulipua makanisa na kuua mapadri .

Huyo mtu wenu amalize tu muda wake akapumzika huko Omani au Kizimkazi lakini sio kuendelea kumaliza Watanganyika.
 
lMkuu, sina hamu na hizi dhana au nadharia. Sijui mwanzo wake na wala mwisho wake kuhusu uhusika huo unao uelezea wewe.
Itoshe tu kusema kuwa sidhani kuna kanuni maalumu inayo fuatwa kila mahala kuhusu ushiriki wa vyombo hivyo.k, naishia hapo kama unadhani Jeshi lenye nidhamu linaweza kushika Silaha na kuua watu basi Xaendelea kuamini hivyo .
Jeshi sio taasisi za kienyeji ni taasisi za kimataifa. Ndio maana hata rank zake ni international .

Captain wa Jeshi ni Capt . dunia nzima lakini polisi mwenye cheo fulani nchi nyingine hawakitambui .

Nchi nyingine polisi sio jeshi.
Jeshi linakua na hadhi sawa kimataifa tofauti ni uwezo wa vifaa na maslahi tu lakini Ukisikia Komando wa Jeshi ni Komando na anaweza kujiunga na jeshi lingine kokote duniani.
Moja ya miiko ya Jeshi kimataifa ni kutomuua mateka ambaye amejisalimisha na kutupa silaha chini na haonyeshi ukaidi.

Jeshi likiua wetu wake ni rahisi kabisa nchi hiyo kuvamiwa na Vikosi vya UN kutuliza hali hiyo.
Hakuna Jeshi linaloweza kuingia kwenye kashfa hiyo kwa sababu ya wanasiasa wanaokiuka katiba.
Katiba ikikiukwa kwa kiwango kinacholeta madhara makubwa ni kazi ya jeshi kurekebisha kama ilivyofanya kwa Samia . Mabeyo alitimiza wajibu wake . Walijua kabisa kuwa Samia hana uwezo na hawakutegemea kuwa angekua Rais wa lidubwana likuuuuubwa kama Tanganyika. Walipotaka kuvunja katiba Jeshi lilielekeza katiba ifuatwe.

TISS ni polisi tu waliochangamka kwa kuwa chini ya ofisi ya Rais kwa hapa Tanzania . Lakini hawana tofauti na polisi katika utendaji wao hasa wapelelezi . Nchi nyingine Usalama wa Taifa ni kitengo tu ndani ya polisi.
 
Jeshi sio taasisi za kienyeji ni taasisi za kimataifa. Ndio maana hata rank zake ni international .

Captain wa Jeshi ni Capt . dunia nzima lakini polisi mwenye cheo fulani nchi nyingine hawakitambui .

Nchi nyingine polisi sio jeshi.
Jeshi linakua na hadhi sawa kimataifa tofauti ni uwezo wa vifaa na maslahi tu lakini Ukisikia Komando wa Jeshi ni Komando na anaweza kujiunga na jeshi lingine kokote duniani.
Moja ya miiko ya Jeshi kimataifa ni kutomuua mateka ambaye amejisalimisha na kutupa silaha chini na haonyeshi ukaidi.

Jeshi likiua wetu wake ni rahisi kabisa nchi hiyo kuvamiwa na Vikosi vya UN kutuliza hali hiyo.
Hakuna Jeshi linaloweza kuingia kwenye kashfa hiyo kwa sababu ya wanasiasa wanaokiuka katiba.
Katiba ikikiukwa kwa kiwango kinacholeta madhara makubwa ni kazi ya jeshi kurekebisha kama ilivyofanya kwa Samia . Mabeyo alitimiza wajibu wake . Walijua kabisa kuwa Samia hana uwezo na hawakutegemea kuwa angekua Rais wa lidubwana likuuuuubwa kama Tanganyika. Walipotaka kuvunja katiba Jeshi lilielekeza katiba ifuatwe.

TISS ni polisi tu waliochangamka kwa kuwa chini ya ofisi ya Rais kwa hapa Tanzania . Lakini hawana tofauti na polisi katika utendaji wao hasa wapelelezi . Nchi nyingine Usalama wa Taifa ni kitengo tu ndani ya polisi.
Sawa mkuu. Hata Jeshi la Amini Dada nalo lilikuwa ni jeshi vile vile kama majeshi yote duniani. Na nina hakika huo siyo mfano pekee wa aina ya majeshi na pengine mabovu zaidi ya hilo.

Bado sioni mantiki katika mtiririko wa hoja zako kuhusu mjadala wa haya tunayo yashuhudia Tanzania..
Labda niseme ni kwa vile nimeji-'tune out' katika kutaka kuelewa kwa kina unacho kizungumzia humu. Huenda huko mbeleni nitakuwa na shauku ya kutaka kuelewa haya, kwa sasa, samahani.
 
Duniani kote nchi za kidemokrasia zinazoongozwa na raia, jeshi kamwe halishiki kuua raia. Hata hapo Uganda hua Jeshi halitumii risasi kuua raia . Polisi ndio wanaozuia maandamano na wakishindwa basi jeshi kinaingilia kati kunusuru mauaji makubwa sana polisi wakishindwa wanageuziwa kibao kupigwa na kujeruhiwa na wengine kuuawa na waandamanaji.

Hata Tanzania JWTZ hua wanafagia tu lakini kamwe hawawezi kushika silaha na kuua wananchi. Jeshi la hovyo kama kule Kongo,Rwanda ,Burundi n.k walipowapiga wananchi na kuwaua ndipo uasi ulipotokea na mauaji ya halaiki ambapo serikali inapinduliwa maana wananchi wanaweza wakaungana na Brigade moja tu na kuisapoti kupambana na jeshi la serikali mpaka nchi ikagawanyika au kupinduliwa.
Jeshi ni chombo tofauti sana. Pia ni kosa jeshi kuingilia utawala wa kiraia.
 
Jeshi ni chombo tofauti sana. Pia ni kosa jeshi kuingilia utawala wa kiraia.
Na unacho kisema hapa, kama ninakuelewa vizuri, ni kuwa, huo "utawala wa kiraia" unaweza kufanya kila aina ya uchafu ndani ya nchi wanayo iongoza, ikiwa ni pamoja na kuua raia wa nchi hiyo na hilo jeshi "chombo tofauti" kibaki tu kinaangalia hayo yote yakitokea bila ya kujishughulisha na kutaka kuyazuia. Jeshi la namna hiyo sijui lina faida zipi hasa kwa wananchi hao.

Lakini bila shaka, ingawaje bado wewe hujasema, tofauti na mwenzio, mkuu '1000 Digits' alivyo eleza; wananchi hao wanao onewa na watawala wao wakijitutumua kutafuta njia za kutaka kujinasua na uovu huo, jeshi hilo lenye nidhamu litaingilia kuwanusuru watawala hao, au siyo!

Hii dunia yetu ni ya kipekee sana.
 
U
Sawa mkuu. Hata Jeshi la Amini Dada nalo lilikuwa ni jeshi vile vile kama majeshi yote duniani. Na nina hakika huo siyo mfano pekee wa aina ya majeshi na pengine mabovu zaidi ya hilo.

Bado sioni mantiki katika mtiririko wa hoja zako kuhusu mjadala wa haya tunayo yashuhudia Tanzania..
Labda niseme ni kwa vile nimeji-'tune out' katika kutaka kuelewa kwa kina unacho kizungumzia humu. Huenda huko mbeleni nitakuwa na shauku ya kutaka kuelewa haya, kwa sasa, s

Ule ulikua ni utawala wa kijeshi uliotokana na mapinduzi ya kijeshi.
Kwa nchi ya kidemokrasia kama Tanzania ni ushamba tu eti Unakuta mwenyekiti wa CCM amevaa magwanda ya Jeshi anapiga mpaka Sauti kama mwanajeshi.
Ni unyani tu na baadhi ya raia kupenda utawala wa mabavu kwa mgongo wa demokrasia kutokana na makuzi yao na malezi yao na mara nyingine inawasaidia kuficha maovu yao kwenye utawala .
Hata Nyerere pamoja na kwamba alitaka kupinduliwa na Jeshi zaidi ya mara nne lakini hakuanza kuvaa unifomu za Jeshi . Alijua kua akijitanabaisha kulitumia Jeshi kutawala atasababisha uasi mkubwa ndani ya Jeshi.

Jeshi letu baada ya kuundwa kubwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na sasa baada ya mfumo wa vyama vingi limekua ni kati ya majeshi yenye nidhamu kubwa sana Duniani.

Ni kweli ndani ya majeshi bado kuna Makada wa CCM wanaoharibu majukumu ya jeshi na kujitenga na siasa lakini kwa asilimia kubwa wanashinda kutekeleza azima yao ndio maana hata ajira za JWTZ hazina upendeleo wa kurithishana ndugu . Eti Baba alikua CDF na mtoto naye akapandishwa vyeo kuandaliwa kubwa CDF kama unavyoona kwenye majeshi koko mengine utaona mpaka utendaji unafanana na wazazi wao .Kama Mahita na mwanae,Sijui Nani sijui nani na nani wamerithishana mpaka unyama wao na ukada wao . Hao ni walamba asali na machawa ndani ya mifumo na ndio wanaoleta mara nyingi mauaji na utekaji maana wanaishi kwa fadhila ya wanasiasa na sio utaalam wao na maarifa yao.
 
Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa CHADEMA kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake?

Vipi vijana wa CHADEMA wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe?

Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Polisi nao wangeslow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku.

Tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards
 
Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa Chadema kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake? Vipi vijana wa Chadema wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe? Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Police nao wange slow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku
tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards
Jitahidi kupangilia muandiko siku nyingine
 
Vijana gani unawazungumzia mkuu? Hawa wanaotia kelele jf? Chadema wafuasi wao ni wa kweny comment tu na si zaid ya hapo kwahiyo usije kutarajia hicho kitu, wakiwa humu na huko X kelele nyingiii na kulalamika haya nenda huko barabaran 😂😂
Huzuni sana mkuu 😓😓 halaf wanakuja tena hapa jf kulaumu watu hawajaandaman wakat wao pia hatujawaona zaid ya mwenyekit na waandishi wa habari tu, acha waendelee na matusi tu siasa basi sasa washafahamu kuwa wananchi hawa wakubali.
 
Wakuu, Nimeshangazwa sana Na aina ya ukamataji wa Viongozi wa Chadema kufatia Planned Demonstration iliyofanyika sana, Hiki chama hakilindi Viongozi wake? Vipi vijana wa Chadema wameshindwa Kuzuia Police 20 kumkamata Mbowe? Kwanza Pale kingenuka tu Ujue Police nao wange slow down zoezi hilo mana Nguvu ya Umma ni Kubwa kuliko wao, Police na Vyombo vya Dola ni wachache sana Kuliko wananchi wengi inashangaza kweli Kuona Viongozi wale wanakamatwa kama Kuku
tumeona Maandamano ya Raila Amole Odinga(RAO) pale Kenye then yakafatia ya Gen Z tuelewe kuwa hakuna maandamano Bila Brutality ukilemaa tu mnaishia kukaa indoors Mkilia lia kwenye Keyboards
Bro ulikuwa wapi kuanziasha unayoyasema?
 
Wapendwa kwa hali ilivyo katika nchi yetu hii, na jinsi tunavyotendewa mabaya na hawa watawala walioamua kututesa kwenye nchi yetu tuliyopewa na Mungu, nkwa kututendea yasiyo haki. Watu wanatekwa,wanapotezwa na wengine wameuawa na pale tunapotaka kupaza sauti kupinga udhalimu huu dhidi yetu, tunatishwa kwa mitutu ya bunduki na magari ya kivita huku wananchi wakilia kwa maumivu moyoni mwao na kuishi kwa hofu.

Ninaomba viongozi wote wa kiroho mturuhusu wananchi tukafanye maombolezo kwenye nyumba za ibada dhidi ya udhalimu na kuminywa kwa haki za wananchi. Na viongozi wa kiroho tunaomba muwasiliane na mteue siku maalum kwa ajili hiyo,kengele za misiba zigongwe na spika za misikitini zitangaze maombolezo haya.

Na tuone kama hao polisi watatuzuia kwenda kuongea na Mungu,au kama wataingia kwenye nyumba za ibada na bunduki zao. Na au kama watatukamata wote tukitoka ibadani. Watu wote wavae nguo nyeusi siku hiyo.
 
Back
Top Bottom