Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Nipo kwenye biashara zangu mkuu kigamboniukarudi zako home au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo kwenye biashara zangu mkuu kigamboniukarudi zako home au
Kakosa uvumilivuukarudi zako home au
Safi hela ni muhimu kuliko kutafta FezehaNipo kwenye biashara zangu mkuu kigamboni
Familia ilale njaaaa?Kakosa uvumilivu
wapandishe live maana nina bando lisilokata 😂Mbeya kimeumana
Wasomi ni wengi sana. Na wote ukikutana nao katika mazingira huru ya usiri, hawaipendi serikali. Ila wote sisi ni waoga tu, hata mimi ni muoga.Km nchi kwenye watu wa milion 50 waliosoma hata milioni 10 hawafiki ujue bado changamoto
Watu wanasaka pesa na wanatoboa, we kaa usubiri kama Dj Mbowe space atakuletea pesa zaidi ya kukutolea mikengeza yake.Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Hata hao askari wenyewe ni waoga tu. Kama wasingekuwa waoga wangekataa kutumika na ccm. Au wangekaza kukubali maagizo toka juu.
Bado hakijatokea kizazi ambacho kipo tayari kupigwa, kufungwa, kufa juu ya masuala ya kisiasa.
Hakuna vijana wa kufatilia au kutaka kuhusika na masuala ya aina hiyo.
Vijana wako bize na mipira, miziki, mitandao,mikeka ya kubeti, minguvu ya kiume, mapenzi, kukata mauno, matamasha, tamthilia na misambwanda
Narudia tena
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Kutoboa labda siku itokee mgogoro kati ya ccm na vyombo vya ulinzi na usalama. Hao ndio wakiamua na kuungana ndio wanaweza kuwatoa ccm madarakani systematically au kwa kupindua.Kutoboa ni mpaka walizoozaliwa 1999 kurudi nyuma watoweke wooote
We ulisha wahi kuona wapi commander wa kikosi anaka frontline?Siku mbili kabla ya kufanyika maandamano ya Dibagula yaliyohusu kupinga Yesu si Mungu,maalim Ali Basaleh alitangaza wazi kabisa mbele yetu msikitini siku ya Ijumaa kuwa angeshiriki japo polisi walikwishayapiga marufuku
Sheikh Ali Basaleh alisema yeye angekaa mbele kabisa na angevaa sanda ili akipigwa risasi basi azikwe na sanda hiyo.Na kweli siku ilipofika alivaa sanda na akakaa mbele akitoa takbir.Alipigwa lakini pamoja na kuumia hakulia.
Tukija upande wa Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa Chadema yeye kasema kupitia twiter kuwa ataandamana na akatoa ramani ya maeneo maandamano yatakapoanzia na kuishia.Mwenyekiti huyo kupitia akaunti yake hiyo alisema akipigwa risasi watu wamuombee dua na wasonge mbele.
Watu wetu kwenye vituo vyote wanasema bado hawajamuona mwenyekiti wa Chadema.
Nadhani la maana ni kupata unachokitaka na si kuonekana tu si muoga, unaweza ukaandamana ukachezea kipigo na bado hayo maandamano yasiwe na manufaa yeyote katika kubadili au kupata ulichotaka na ukaishia kuonekana si muoga tu basi. Haya maandamano yanashindikana si kwa sababu ya uoga bali ni kukosa muamko tu na huo ndio uhalisia.Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.