SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kwanini nihangaike na Polisi wapo kuifanya kazi yetu kuwa rahisi tena kwa gharama ya serikaliUngeenda uandamane tukufundishe kutii sheria bila shuruti na kukushikisha adabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini nihangaike na Polisi wapo kuifanya kazi yetu kuwa rahisi tena kwa gharama ya serikaliUngeenda uandamane tukufundishe kutii sheria bila shuruti na kukushikisha adabu.
Mimi ni muoga kufuata mkumbo, mimi ni mtu mzima, najua kutofautisha upuuzi na ukweli!Cha kwanza ni uoga, hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana 🤣
Mimi ni Muoga sana, wewe je?
Mwashambwa ni msxxxngi tu huna lolote!Ungeenda uandamane tukufundishe kutii sheria bila shuruti na kukushikisha adabu.
Kama cdm imekufa, na polisi wana sura ya uchovu wa usingizi hadi muda huu, sijui ingekuwa hai ingekuwaje. Hiyo ni ishara kuwa uhai wa ccm ni vyombo vya dola tu.
Vipi mbona uko.kimya sana Erythrocyte unaumwa au?Joined Septemba 16 2024
We huogopi😂Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Hata hao askari wenyewe ni waoga tu. Kama wasingekuwa waoga wangekataa kutumika na ccm. Au wangekaza/wangekataa kukubali maagizo toka juu.
Bado hakijatokea kizazi ambacho kipo tayari kupigwa, kufungwa, kufa juu ya masuala ya kisiasa.
Hakuna vijana wa kufatilia au kutaka kuhusika na masuala ya aina hiyo.
Vijana wako bize na mipira, miziki, mitandao,mikeka ya kubeti, minguvu ya kiume, mapenzi, kukata mauno, matamasha, tamthilia na misambwanda
Narudia tena
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Tena huyo alaniwe huko aliko kwa kuasisi huu ushetani unaoendelea.Laana ya Magufuli inawatafuna
Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojiaKama cdm imekufa, na polisi wana sura ya uchovu wa usingizi hadi muda huu, sijui ingekuwa hai ingekuwaje. Hiyo ni ishara kuwa uhai wa ccm ni vyombo vya dola tu.
Ila Chadema ni next level kwa kweli, wamewapigisha kwata hawa manjagu kwa wiki nzima sasa na kuufikisha ujumbe wao kwa gharama za serikali yenyewe, akili kubwa ni akili kubwa tu .Kama cdm imekufa, na polisi wana sura ya uchovu wa usingizi hadi muda huu, sijui ingekuwa hai ingekuwaje. Hiyo ni ishara kuwa uhai wa ccm ni vyombo vya dola tu.
🤣We huogopi😂
Acha visingizio, we sema tu ni Muoga 🤣Mimi ni muoga kufuata mkumbo, mimi ni mtu mzima, najua kutofautisha upuuzi na ukweli!
Wanaharakati na wanasiasa wote wanaoongoza hizi movement uchwara ni wanafiki na waongo, siwezi kuingia kwenye movement iliyoasisiwa na inayoongozwa na watu wanafiki na waongo.
Siwezi kuwafuata wanaharakati na wanasiasa ambao hawaishi wanachokihubiri.
Hakuna posho wala nn, polisi wanafanya majukumu yao ya kila sikuIla Chadema umejua kuyachezea akili hii Gavulumenti ya Kijuha.
Chadema imaifanya serikali itumie pesa unnecessarily kulipa posho maaskari huku ufike wao Chadema wakipanga kutoingia barabarani. Gavulumenti brainless kabisa! 😆🤣
Uko sahihi kabisa. CCM bila vyombo vya dola ni hakuna chama. Wananchi wote wameichoka.Kama cdm imekufa, na polisi wana sura ya uchovu wa usingizi hadi muda huu, sijui ingekuwa hai ingekuwaje. Hiyo ni ishara kuwa uhai wa ccm ni vyombo vya dola tu.
Lengo la CHADEMA ilikuwa ni kuwapima POLISI wa Tanzania?Ila Chadema umejua kuyachezea akili hii Gavulumenti ya Kijuha.
Chadema imaifanya serikali itumie pesa unnecessarily kulipa posho maaskari huku ufike wao Chadema wakipanga kutoingia barabarani. Gavulumenti brainless kabisa! 😆🤣
Niko hapa nasubiri nikuone ww na mumeo na watoto wako mkinifundisha kutii sheria. Umevaa dera la rangi ngani?Nilikuwa nakutafuta muda wote kumbe umekuja kujificha huku? Kwanini hujaandamana? Si ulisema utaandamana? Kwanini hujapeleka pua lako barabarani ili ufundishwe adabu na kutii sheria bila shuruti?