Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa we unaewaza mambo ya msing hayo ya samia must go uliandamana wapi? Mtakuja kupata akili mshachelewaWewe bakia kuimba sifa za Samia tuu huwezi kufikirika lingine lolote.
We endelea kuimba ujinga wa
" nani kama Samia.
piga makofi kwa Samia .
Samia ametowa Hela(sijui yake) kujenga hili na lile" na upuuzi mwingine.
Umeamkaje ZUZU mwenzetu?WA TZ MUMUSHUKURU MUNGU ALIYEWAWEKEA MCHAWI NYENYERE. NYENYERE NDIE ALIYEROGA WA TZ WOTE WAWE MAZUZU
Kalamu unadhani Jeshi linapaswa kufanya nini na kwa namna gani?Na unacho kisema hapa, kama ninakuelewa vizuri, ni kuwa, huo "utawala wa kiraia" unaweza kufanya kila aina ya uchafu ndani ya nchi wanayo iongoza, ikiwa ni pamoja na kuua raia wa nchi hiyo na hilo jeshi "chombo tofauti" kibaki tu kinaangalia hayo yote yakitokea bila ya kujishughulisha na kutaka kuyazuia. Jeshi la namna hiyo sijui lina faida zipi hasa kwa wananchi hao.
Lakini bila shaka, ingawaje bado wewe hujasema, tofauti na mwenzio, mkuu '1000 Digits' alivyo eleza; wananchi hao wanao onewa na watawala wao wakijitutumua kutafuta njia za kutaka kujinasua na uovu huo, jeshi hilo lenye nidhamu litaingilia kuwanusuru watawala hao, au siyo!
Hii dunia yetu ni ya kipekee sana.
Hili ni swali nisilo taka kulijibu sasa hivi. Ila itanishangaza sana kama chombo cha usalama wa nchi kama jeshi litakuwa lipo tu bila hata kushtuka wakati "usalama" huo wa nchi ukiwa haupo. Hili nitakuwa silielewi hata kidogo.Kalamu unadhani Jeshi linapaswa kufanya nini na kwa namna gani?
Kalamu hoja yako ina mantiki sana ila hali ya kisiasa nchini inaweza kubadilishwa na wananchi wenyewe watakapokuwa tayari. Ni uongo mkubwa sana kusema Tanzania kuna demokrasia. Ni uongo kabisa. Hakuna dsmokrasia, usalama wala haki. Watu wanaoishi kwa hofu huwezi kusema wana amani na wako salama.Hili ni swali nisilo taka kulijibu sasa hivi. Ila itanishangaza sana kama chombo cha usalama wa nchi kama jeshi litakuwa lipo tu bila hata kushtuka wakati "usalama" huo wa nchi ukiwa haupo. Hili nitakuwa silielewi hata kidogo.
Ally hapi una matatizo kichwaniKiongozi wa juu wa jumuiya ya wazazi CCM alipokuwa Channel 10 akifanya mahojiano amedai pigo waliopigwa Chadema inawezekana ikachukua mpaka miaka 25 kurecover.
"Nimewaona Mbowe, Lema na wengine wachache wakifanya mahojiano leo, kwa kweli walikuwa wameishiwa nguvu, walikuwa wamepoteza muelekeo, mentally, emotionally na psychologically
Wamekosa imani na wanachama wao,wamekosa imani na Bavicha, kwa sasa hivi mwenyekiti Mbowe mtu pekee anayemuamini ni mwanae Nicole na mkewe"
Ally Hapi ameshangaa hata kwanini Chadema huwa wanalalamika kuwa huwa wanaibiwa kura.
Kiongozi wa juu wa jumuiya ya wazazi CCM alipokuwa Channel 10 akifanya mahojiano amedai pigo waliopigwa Chadema inawezekana ikachukua mpaka miaka 25 kurecover.
"Nimewaona Mbowe, Lema na wengine wachache wakifanya mahojiano leo, kwa kweli walikuwa wameishiwa nguvu, walikuwa wamepoteza muelekeo, mentally, emotionally na psychologically
Wamekosa imani na wanachama wao,wamekosa imani na Bavicha, kwa sasa hivi mwenyekiti Mbowe mtu pekee anayemuamini ni mwanae Nicole na mkewe"
Ally Hapi ameshangaa hata kwanini Chadema huwa wanalalamika kuwa huwa wanaibiwa kura.