Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiongozi wa juu wa jumuiya ya wazazi CCM alipokuwa Channel 10 akifanya mahojiano amedai pigo waliopigwa Chadema inawezekana ikachukua mpaka miaka 25 kurecover.
"Nimewaona Mbowe, Lema na wengine wachache wakifanya mahojiano leo, kwa kweli walikuwa wameishiwa nguvu, walikuwa wamepoteza muelekeo, mentally, emotionally na psychologically
Wamekosa imani na wanachama wao,wamekosa imani na Bavicha, kwa sasa hivi mwenyekiti Mbowe mtu pekee anayemuamini ni mwanae Nicole na mkewe"
Ally Hapi ameshangaa hata kwanini Chadema huwa wanalalamika kuwa huwa wanaibiwa kura.
Sasa ndio mumewaongezea umaarufu mbele za Mungu na Wanaadamu, na CCM watashudhwa hadi pande za mwisho za shimo, yajayo yanafurahisha...
 
Kwa ushuhuda aliotoa Mnyika kilichomtokea Mbeya, Kwa aliyemwelewa sidhani kama Kuna mtu angepeleka pua yake kwenye maandamano.
 
Kiongozi wa juu wa jumuiya ya wazazi CCM alipokuwa Channel 10 akifanya mahojiano amedai pigo waliopigwa Chadema inawezekana ikachukua mpaka miaka 25 kurecover.
"Nimewaona Mbowe, Lema na wengine wachache wakifanya mahojiano leo, kwa kweli walikuwa wameishiwa nguvu, walikuwa wamepoteza muelekeo, mentally, emotionally na psychologically
Wamekosa imani na wanachama wao,wamekosa imani na Bavicha, kwa sasa hivi mwenyekiti Mbowe mtu pekee anayemuamini ni mwanae Nicole na mkewe"
Ally Hapi ameshangaa hata kwanini Chadema huwa wanalalamika kuwa huwa wanaibiwa kura.
UJINGA kabisa, si ndio waliosema CHADEMA imekufa??🤣😅🤣😅
 
Kiongozi wa juu wa jumuiya ya wazazi CCM alipokuwa Channel 10 akifanya mahojiano amedai pigo waliopigwa Chadema inawezekana ikachukua mpaka miaka 25 kurecover.
"Nimewaona Mbowe, Lema na wengine wachache wakifanya mahojiano leo, kwa kweli walikuwa wameishiwa nguvu, walikuwa wamepoteza muelekeo, mentally, emotionally na psychologically
Wamekosa imani na wanachama wao,wamekosa imani na Bavicha, kwa sasa hivi mwenyekiti Mbowe mtu pekee anayemuamini ni mwanae Nicole na mkewe"
Ally Hapi ameshangaa hata kwanini Chadema huwa wanalalamika kuwa huwa wanaibiwa kura.
Yaani wana ccm wengi ni wajinga!
Wanashindwa kujiuliza ni kwanini wamelazimika kutumia gharama kubwa kuzuia maandamano ya upinzani!

Kama wanajiamini kiasi hicho ni kwanini hawakuwaacha upinzani waandamane?
 
Huyu jamaa alijidai kulima vitunguu iringa vimemshinda sasa karudia kazi ya uchawa kaona inalipa... maishaa mchezo kilimo tuachieni sisi.
 
Kiongozi wa juu wa jumuiya ya wazazi CCM alipokuwa Channel 10 akifanya mahojiano amedai pigo waliopigwa Chadema inawezekana ikachukua mpaka miaka 25 kurecover.
"Nimewaona Mbowe, Lema na wengine wachache wakifanya mahojiano leo, kwa kweli walikuwa wameishiwa nguvu, walikuwa wamepoteza muelekeo, mentally, emotionally na psychologically
Wamekosa imani na wanachama wao,wamekosa imani na Bavicha, kwa sasa hivi mwenyekiti Mbowe mtu pekee anayemuamini ni mwanae Nicole na mkewe"
Ally Hapi ameshangaa hata kwanini Chadema huwa wanalalamika kuwa huwa wanaibiwa kura.
 

Attachments

  • IMG-20240924-WA0033.jpg
    IMG-20240924-WA0033.jpg
    101.2 KB · Views: 5
Kalamu hoja yako ina mantiki sana ila hali ya kisiasa nchini inaweza kubadilishwa na wananchi wenyewe watakapokuwa tayari. Ni uongo mkubwa sana kusema Tanzania kuna demokrasia. Ni uongo kabisa. Hakuna dsmokrasia, usalama wala haki. Watu wanaoishi kwa hofu huwezi kusema wana amani na wako salama.
Kinacho shangaza zaidi ni hao hao wanaofanya maovu ndio wanao himiza "utulivu, amani"!
Watu wasiotaka wananchi wawachague viongozi wao bila ya kufanyiwa mizengwe, ndio hao hao wanao hakikisha uchaguzi hauwi wa haki.

Yote haya wanayasema hadharani kana kwamba raia hawana akili za kujua kinacho fanyika!

Labda nimalize kwa kuuliza swali: Hivi hilo jeshi, wao hawawezi kamwe angalao hata kuhakikisha tu kuwa uchaguzi unapo fanyika ni lazima uwe wa haki? Tuseme wao wawepo tu kuhakikisha jambo dogo kama hilo linafanyika, hata bila ya kutaka kuingilia mambo ya siasa, na kutaka kuchukua madaraka wao wenyewe.

Hilo Jeshi, likiamua kufanya hivyo; kwa nini lilaumiwe; na nani alaumu jambo kama hilo mbali tu ya hao wasiotaka watu wawe huru kuchagua viongozi wao.

Gabon, nchi ya Afrika Magharibi, jeshi lilikataa ushindi wa wizi aliokuwa ameunyakua Omar Bongo, rais wa huko aliyekuwa na yeye karithi toka kwa baba yake. Sasa kwa nini sisi huku, CCM iwe imeteka nchi nzima, hata vyombo vyote vya dola vinavyotakiwa kuwa huru na kulinda maslahi ya nchi?
Hivi vyombo sasa ndio vimekuwa vya kuwakandamiza wananchi kwa niaba ya CCM?
 
Tundu aliamua kukwepa kuongelea maandamano akakimbilia tigo. Very unfortunate kwa siasa za bongo.
 
Back
Top Bottom