Kwani kuna wilaya hajaenda Tanzania hii?
Tahadhari
Kuna mtu moyo unakaribia kukata moto huko manyara hivyo hospital za celian ,KCMC na BMkapa ziwe stand by
Ni awamu hii tu ndio ukweli umebatizwa jina la matusi.Usinirudie kunitukana
Nimemuombea Lissu katika ibaada ya leo. Ili alilopanga Mola litimie.
hakikisha sana ukampigie kura Mheshimiwa Rais Lissu siku ya Jumatano oktoba 28, hakikisha hilo, wewe, mkeo, na nduguzo wote waambie kura zote kwa LissuUnaruhusiwa kijifariji ?
All in all mr lissu tayari ana tiket ya kurudi ubeligiji, anajua field kukoje
Kwani ratiba anapanga yeye au NEC?Kwanini kila siku anarudi singida ? Hawaamini ndugu zake
we mlevi hakikisha jumatano unampigia kura Mheshimiwa Rais Tundu A. LissuKwanini kila siku anarudi singida ? Hawaamini ndugu zake?
Gazeti la Lumumba buku7Kwenye kikao chake ataenda lini tena
View attachment 1611263
Hata mimi nimeshangazwa au kuna hujuma Chadema?Nimeona mahali kuwa mawakala wa CHADEMA bado hawakuapishwa licha ya kuongezwa kwa muda. Lakini sijasikia chama kikisema lolote. Mmekubalina na hali
we mlevi hakikisha jumatano unampigia kura Mheshimiwa Rais Tundu A. Lissu
Kwani ratiba anapanga yeye au NEC?
Hata jiwe mbona anaenda kustaafia Dodoma?
Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye uchaguzi huu ni kuiba kura tu .
Nirudi kwenye mada , Leo Tundu Lissu ataendelea na mikutano kadhaa na hasa kwenye maeneo ambayo hakufanikiwa kuyapitia ya Dodoma na Singida ( anafukia mashimo ) , kama kawaida yetu tutawaletea kila kinachojiri pote atakapopita .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika .
" TANZANIA MPYA OYEE , RAIS MPYA OYEEEE "
View attachment 1611262
========
hakikisha sana ukampigie kura Mheshimiwa Rais Lissu siku ya Jumatano oktoba 28, hakikisha hilo, wewe, mkeo, na nduguzo wote waambie kura zote kwa Lissu
Hivi zile ajira mpya za walimu zimeishia wapi?kweli tushaonwa mazuzu.
Zimeshatoka tayari tunakula bata tu
Hahaaa labda umeajiriwa kufagia uwanja wa Chato.
Sawa boss we kula bata.Acha fujo kamanda