MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,174
Hatakiwi kufanya hivyo...!! Anaweza kusema kwamba lipo chini halafu likabadilishwa, ndio maana amekaa kimya. Ile ya Magu haitabadilika ndo vilevile ndio maana anafundishia maana ni uhakika haitabadilika.
kumpigia kura 28 Okt 2020. Hajaeleza wapi picha na jina lake vimewekwa kwenye karatasi ya kupiga kura.