Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
Aiseeee !!Ujio wa watumishi dodoma umechangia kuimaliza ccm dodoma kwa kupeleka spirit mpya ya mabadiliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee !!Ujio wa watumishi dodoma umechangia kuimaliza ccm dodoma kwa kupeleka spirit mpya ya mabadiliko
aisee huko babati mzee meko kachanganyikwa yaani anaongea mdomo haunaushirikiano na ubungo ni shida,kuna saa nasika mungu hoyyyyyyyyeeeeeeee,Kwani kuna wilaya hajaenda Tanzania hii?
Tahadhari
Kuna mtu moyo unakaribia kukata moto huko manyara hivyo hospital za celian ,KCMC na BMkapa ziwe stand by
Tena Wana akili nzuri,zaidi ya wanavyodhani hawa wanaoleta propaganda uchwara.Propaganda hazitawasaidia. Lissu amesema atatupa uhuru, haki na maendeleo. Semeni mtakachotupa ili tuwalinganishe. Haya ya mabeberu, kukimbia nchi wakati nyie ndio mliompa ulemavu, ushoga ni soga tu hizo. Watanzania wana akili.
Aiioni ratiba ya kwenda jombo la NyalanduLeo aende akamnadi Nyalandu, sijaona akimnadi....
Ameen.Viva Lissu! Viva wana kanda ya kati Mungu awabariki sana! Tunedelee kuhamasisha watu na makundi ya watu kujitokeza tar 28, tukampeleke Lissu ikulu kwa kura nyingi! Mungu akazuie hila zote za wasiopenda haki!
Mkuu Erythrocyte may i have your contants?Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye uchaguzi huu ni kuiba kura tu .
Nirudi kwenye mada , Leo Tundu Lissu ataendelea na mikutano kadhaa na hasa kwenye maeneo ambayo hakufanikiwa kuyapitia ya Dodoma na Singida ( anafukia mashimo ) , kama kawaida yetu tutawaletea kila kinachojiri pote atakapopita .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika .
" TANZANIA MPYA OYEE , RAIS MPYA OYEEEE "
View attachment 1611262
========
Kwa nia njema lakini?Mkuu Erythrocyte may i have your contants?
Kama hutojali nimekuwa nikivutiwa sana na maandiko yako
Nia njema kabisa wallaah.Kwa nia njema lakini?
Lisu ni mzalendo halisi toka moyoni na sio wa majukwaani, hana kashfa yeyeto, ni civilized na matured,ana global vision ni mtanzania halisi uraia wake hauna shaka kabisa,
Ni mtetezi wa haki tumpe kura zote
Dictator awatoki madarakani bali kwaexctly, bila hivyo dictators hawaondoki madarakani
Hahahahaha kweli amevulugwa leo nimemsikia anasema watanzania tumefikia mil.121aisee huko babati mzee meko kachanganyikwa yaani anaongea mdomo haunaushirikiano na ubungo ni shida,kuna saa nasika mungu hoyyyyyyyyeeeeeeee,
Mbona kila siku Singida ?
Hawaamini ndungu zake wa singida ? Anajua watamfyekelea mbali
Hapa vijana tuna la kujifunza, Usaliti ni laana kwa Taifa
Haki inapotendeka,hata yote hayo hayana,sababu ila kwa kuwa wapo baadhi hawataki kutenda haki ndio watakao sababisha yote hayo.Watz ni waoga sana, itatakiwa kuhamsisshwa sana ili waweze kuipigania haki yao.
Bahati nzuri uchaguzi huu LISU atakuwa front akihamasisha wazalendo wa kweli
kupigania nchi yao toka kwenye makucha ya wachumia tumbo
Wananchi ni waoga sana, labda wahamasishwe na ushujaa wa mgombea (Lisu) kwambaJe wananchi watakubaliana na ujinga wa kutomtangaza Lissu ?
Ukweli mtupuLissu kaibadili siasa kutoka siasa woga hadi siasa za Kiushujaa
Hii jf mkuu ina mambo yakeMkuu Erythrocyte may i have your contants?
Kama hutojali nimekuwa nikivutiwa sana na maandiko yako