Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ya Mbowe na wenzake. Superitendent Jumanne Malangahe atoa ushahidi, Kesi imeahirishwa hadi Nov 9, 2021

Si ndio kama walivyomuwekea mzee wa watu meno ya tembo umbwa takataka ghasia hao mwenzao keshafukuzwa....ila kumbuka mahita alisema watu walikusanyika pale kwenye lile nyomi ndo wakachukua mashahidi, leo jumanne anasema alienda kuwatafuta kwenye mabanda yao ya mbege
 
Shahidi: 04 August 2020 nilikuwepo katika Kituo Changu cha Kazi, Upelelezi Wilaya ya Arumeru, Nikiwa Ofisni Kwangu nilipigiwa Simu na Afande Kingai, Akinitaarifu kuna Safari Ni jiandae Ya Kwenda Kufanya Moshi, Mkoani Kilimanjaro
ulipopigiwa simu na Kingai ukafurahi ukajua perdiem imeingia... kutatua matatizo madogo madogo uliyokuwa nayo kwa hiyo hukutaka hata kujua kwa undani ni jambo gani Kingai alitaka ufanye huko uendapo, cha msingi kwako ilikuwa perdiem tu.
 
Shahidi: Nikamwambia Afande Kingai kuwa Ngoja Nikaite Watu kwa ajili ya kushuhudia

Wakili wa Serikali: Ukawafuata wapi?

Shahidi: Palikuwa na Maduka na Mabanda kwa hiyo niliamini kuna watu wanaoendelea na Shughuli zao Na hapo watu watu walikuwa Wamesha Anza Kusogea

Wakili wa Serikali: Zoezi la Kutafuta Mashahidi lilifanyikaje

Shahidi: Nili angalia Maeneo Kadhaa Nikaenda Kwenye Banda, Ni kauliza nani anaye husika hapa, Kwamba Kwakuwa Kulikuwa wazi basi Kuna Shughuli zilikuwa zinaendelea Baada ya Kuuliza hivyo alijitokeza Dada Mmoja kwa Jina la Anita Mtaro




Mahita juzi alipoulizwa kwa nini aliamua kumfata shuhuda alie mbali, alisema shuhuda hakufwatwa kwenye duka lake ila alikua among the crowd[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Na Bado Yuko kazin, Jeshi la Polisi nahic ndio Jeshi bovu lisilo na nidhamu kuliko yote dunian
 
Yaani kinaendelea kuumana 😅😅

Mawakili wa upande wa serikali wameomba kuongezwa muda wa dakika 30, mahakama ilikuwa irejee saa 7:20 saa za Afrika ya mashariki. Wameongezewa muda huo, Sasa Mahakama itarejea saa 7:50 kama tena hawataomba muda wa nyongeza…
 
Mbwembwe zote kumbe hata vufungu vya sheria walitumia vya kutoka sheri za Rwanda??🤣
 
🤣🤣🤣hii movie kali sana
 
Nimeskia Mtito wa Mahita kafariki juzi. Hii ndio Laana kufuata kizazi hadi cha nne maana yake.
watazikana tu, achana na kitu kinaitwa laana hapa duniani, watu wanafikiri hakuna sheria katika ulimwengu wa kiroho wanafikiri ni hizi sheria za duniani tu - no no no.

Hata mwenyezi Mungu alishindwa ku-justify ukombozi wa wanadamu hadi akatoa nafsi yake izaliwe kama mwanadamu wa kawaida hapa duniani ili damu umwagike na ukombozi upatikane, hizi ni sheria za uumbaji wa ulimwengu.

Sheria zipo, na ni lazima wote wanaotesa wenzao wataipata hapa hapa duniani. unaweza kukuta hata mkeo anatembea na marafiki zako wa karibu tena chumbani kwako, ama analala na shamba-boy miaka nenda rudi bila kujua , mwanao anakuwa msagaji ama shoga, ama familia inakuwa na ulevi kupindukia - ni moja ya laana hizo unashuhudia ungali hai.
 
Watakuja kutuambia eti ni "typing errors" aibu tupu.
 
Yule mama alidai kua aliwaona hao watu katika kibanda cha usajili laini wakati akifagia yeye na binti yake

Alisema alishuhudia tukio la polisi kutoa amti ya kuwaweka chini ya ulinzi akiwa hatua kumi kutoka alipo mpaka tukio linapofanyika

Shahidi wa leo anasema tukio la kutoa amri ya kuwaweka chini ya ulinzi ndio iliyowashtua watu na watu hao walikua umbali wa hatua 5 au 6

Shahidi wa leo ambaye ni polisi ameonesha hakuwa na hakika wa vile vitu vilivyo patikana ni vitu gani kwa watuhumiwa baada ya kuwasachi, lakini yule mama ambaye aliitwa kama shahidi katika maelezo yake aliweza kutambua kua ni madawa ya kulevya

Yule mama alisema kuna pakiti mbili zilikutwa ambazo moja ili contain kete 21 (ambapo katika jarida lake mahakamani iliandikwa kete 25) na pakti nyingine ili contain kete 58

Katika maelezo ya huyu shahidi hakuna taarifa za kete 58
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…